...za bomani (civil marriage) Mara nyingi hufanywa na watu wanaoabudu dini tofauti, hasa waislam na wakristu, na Kila mmoja amependa kuendelea na imani yake,
au Kuna watu wanaamua kufungia huko kwa sababu zao binafsi, maana Kule hata kuvunja ndoa inakuwa Ni rahisi.