Ndoa za Kanisa Katoliki


Sikiliza hiyo video Joseph Mbilinyi Mr 2 akila kiapo cha ndoa hakusema maneno ya mpaka kifo kitutenganishe
 
Nying mkuu ni zakubalik ww unafunga veep ndoa una mimba ndio Maan hawasemn
 
Sakramenti ya ndoa kwa kanisa katoliki ndio sakramenti inayoadhimishwa na wanandoa wenyewe hivyo kiapo kiwepo au kisipokuwepo haibadili maana ya ndoa cha msingi ni makubaliano ya wanandoa mbele ya shahidi mwakilishi wa kanisa ( padre, askofu n.k) mnaweza kwenda kanisani mkamwambia padre tubalikie ndoa yetu yeye akasema tu kwa jina la baba na la Mwana na la Roho Mt. tayari ni ndoa bila ya nyie kusema lolote.
 
Sikiliza hiyo video Joseph Mbilinyi Mr 2 akila kiapo cha ndoa hakusema maneno ya mpaka kifo kitutenganishe
Kwa kawaida maneno haya husemwa na Padri “ alichokiunganisha Mungu mwanafamu asikitenganishe” kama padri kasema hivi kuna haja gani ya wanandoa kirudia maneno yenye muktadha ule ule
 
Binafsi. Hili suala la ndoa makanisani kwa uchunguzi wangu naona ni la kisiasa zaidi.
Maana ukiangalia hao Abrahamu na Sarah, Isaka na Rebeca,Yakobo na(Lea,Raheli,Bilha na...) Joseph na Maria hakuna aliyefungishwa ndoa Sijui Kanisani,Sinagogini,wala Hekaluni.
 
Kwani hilo ndilo dhambi la mwisho ? hata mkiruhusiwa bado mtatenda madhambi mengine tifauti na ya ngono
 
Nyakati hizo sidhani kama ubunifu/utaratibu wa ndoa ulikuwepo
 
Nyakati hizo sidhani kama ubunifu/utaratibu wa ndoa ulikuwepo
Yes haya mambo yameletwa baadae sana sana kisiasa. Ukisoma kisa Yakobo utaelewa jinsi ndoa ilivyo .Yeye alipoona umri umefika akamweleza baba yake Mzee Isaka,Baba akamweleka aende kwa Mjomba wake Labani ana mabinti akaoe binamu yake. Yakobo akaenda kwa Mjombae akamweleza shida yake,Mzee Labani akakubali kwa masharti ya kuchunga ng'ombe kwa miaka saba(Mahari) ,akimaliza atapewa mke.
Jamaa aligangamaa miak saba aliona kama miezi saba tu.
 
Wanatumia maneno gani?
 
hayo maneno mmeyatoa kwenye bongo movie

Soma tena andiko la mleta mada halafu linganisha na lako kisha tuoneshe maneno "HADI KIFO KITAKAPOTUTENGANISHA".
Kupenda na kumheshimu mtu ni simple tu unaweza hata kumheshimu Mzazi mwenzio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…