Kwa hapa bongo sidhan maana ndoa ya mkataba Mara nyingi kila pande inanufaika ,yaan mwanamme unahudumiwa mahitaji yako ,,ila mwanamke anapewa kitu km malipo ili hata atakapoondoka awe nakitu chakufanya maisha.
Sasa kwa hali halisi ya bongo ningumu sana ,Unless muwe mmekubaliana tu nyote wawili !!.