Ndoa ni maamuzi yako?

Nakuchukia sana

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
592
Reaction score
1,161
Tusiingiliane kama umeona ndoa ina kufaa oa,na kama haikufai kaa pemben.Na usipooa mbelen usije ukalaumu mtu,ukizidiwa na kujinyea kwa nyumba.Hata mm sijaoa nani maamuz yangu kwa hiyo,nikiishi na madem usije ukaniuliza mbona huoi maana tutazinguana sisi team kataa ndoa hatutaki usumbufu,na sio kila kitu msingizie mungu,ndoa sio lazim ni maamuzi yako mtu. kibinafs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…