Tafiti nyingi zinaonesha kuwa watu wengi walio funga ndoa wamewapiku wale wasio funga ndoa kwenye umri wa kuishi. Watafiti hawa wamebainisha kuwa mfumo wa maisha wa mtu aliye kwenye ndoa huchangia mabadiriko yake kifikira na hata kiuchumi hivyo kwa njia moja au nyingine ndio sababu ya wale walio kwenye ndoa kuishi kwa muda mrefu. Wakati ndoa huchangia kuongea muda wa kuishi na faida nyingine nyingi kwenye afya ya binadamu, tafiti zinaonesha kuwa wale walio achika / tengana au wajane umri wao wa kuishi huwa mfupi kuliko wale wasioolewa /oa kabisa.DONDOO: Ndoa huongeza muda wa kuishi
Sidhani kama hii ina ukweli maana asilimia kubwa ya ndoa zina matatizo na zinaumwa
magonjwa haya ya ndoa hizo huwapa wahusika masongo wa mawazo na wala sio furaha
kwenye ishu hii mimi NADHANI zinazungumziwa 'NDOA ZENYE UDHATI WA MAPENZI YA KWELI' tena ambazo kila mhusika anakomaa kuhakikisha amani, upendo, furaha, uaminifu, kujaliana, nk..na sio zile 'NDOA NDOANA'...tujaribu kutofautisha my dear!!
Tafiti nyingi zinaonesha kuwa watu wengi walio funga ndoa wamewapiku wale wasio funga ndoa kwenye umri wa kuishi. Watafiti hawa wamebainisha kuwa mfumo wa maisha wa mtu aliye kwenye ndoa huchangia mabadiriko yake kifikira na hata kiuchumi hivyo kwa njia moja au nyingine ndio sababu ya wale walio kwenye ndoa kuishi kwa muda mrefu. Wakati ndoa huchangia kuongea muda wa kuishi na faida nyingine nyingi kwenye afya ya binadamu, tafiti zinaonesha kuwa wale walio achika / tengana au wajane umri wao wa kuishi huwa mfupi kuliko wale wasioolewa /oa kabisa.DONDOO: Ndoa huongeza muda wa kuishi
SIYO KILA NDOA NI NDOA, KAMA ZILE ZA MIKEKA UNATARAJIA FARAJA HAPO?
Hapo ni TENDO LA NDOA na sio ndoa yenyewe, asilimia 80% ya ndoa zinafupisha maisha, waliomo kwenye ndoa karibu wote wanasumbuliwa na pressure na stress wengine wanapata mpaka kisukari.
kwenye ishu hii mimi NADHANI zinazungumziwa 'NDOA ZENYE UDHATI WA MAPENZI YA KWELI' tena ambazo kila mhusika anakomaa kuhakikisha amani, upendo, furaha, uaminifu, kujaliana, nk..na sio zile 'NDOA NDOANA'...tujaribu kutofautisha my dear!!