Ndoa hizi!!!

Akipata ngoma anayoitafuta atatulia

Na mke wake asiye na hatia aathirike.

wanawake wanaoamini "aliyeunganisha mungu binadamu asitenganishe" nawaonea huruma sana. We Ujue tu ndo maisha yako duniani yatakavyokuwa, thawabu isubiri mbinguni.

Kwanza msingi wa talaka kwenye dini nyingi ni uzinzi.

Kuna vitu vya kuvumilia sio kupigwa na uzinzi. Hata watoto mnawa Affect. Me nakumbuka incident imetokea nina miaka Sita! Leo nikikumbuka namchukia sana baba.

Pole yake huyo dada. Me namshauri aondoke. Watoto sio shida. Watapeana zamu kushinda nao.
 

Tatizo la hawa watu ukiwashauri wajikinge tena mwanamke mwenzie atasema unamtaka bwana ake na atamwambia huyo bwana ili akukomeshe kwa kumwambia ukweli.

Nilishawahi kuwa na huruma na mtu kwamba Nilimwambia ukweli na kumshauri akadhani nataka kugombea kibamia na yeye.

Itachukua muda kwake kuona vizuri na inaweza kuwa too late.
Huyu mleta uzi ndo angekuwa kwenye nafasi ya kumuokoa huyo mwanamke.
 
Hii ID yako ni shida
 

Kweli...... Hata kuwashauri unaogopa....
@Cereal Killer ungemsaidia mama watu.... Huyo baba habadiliki leo wala kesho....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…