Mimi ni mkristu,nilifunga ndoa kanisani,nilipokua na ujauzito Wa motto Wa kwanza Mme wangu akapata mchepuko,baada ya mchepuko kusikia nimejifungua nayeye akabeba mimba,Mme wangu akawa amechanganyikiwa aishi name yupi kwa maana alisema hawezi kua na wake 2,Akaamua kuokoka ili Mungu amuonyeshe nani mke wake inawezekana alifanya makosa kuoa mke Wa kwanza,akaenda Malawi kwa Prophet bushiri akatabiriwa aache mke Wa ndoa aoe mchepuko,alivyorudi akaongoza mahakamani kwa ajili ya talaka,talaka imeshatoka kwa maana mke wake hakutaka kelele nae,tatizo lililopo,hataki hata kujiua mtoto wake anaendeleaje,matumizi mpaka mpigizane kelele,inauma sana mtoto kukosa mapenzi ya baba,ushauri tafadhari.