Ndo tuseme wanawake wanajali muda sana au? Hili tatizo nataka tulimalize leo

STUNTER

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
13,076
17,246
Kuna wanawake skuhizi wanajigeuza ng'ombe wanajisaidia huku wanatembea ili kusave muda. Twende mdogo mdogo mtanilewewa tu.

Jana kuna mshkaji wangu alikuwa ananiomba ushauri wa jinsi ya kumsimamisha mwanamke anayepishana anae njiani, manake anahisi kuna sehemu huwa anakosea labda kwasababu anasema kila msichana anayemsimamisha ili amtongoze au kuongea nae kuhusu ishu nyingine basi yule mwanamke ndio anakuwa kama amezidishiwa speed za miguu.

Na suala hili linatutokea wanaume wengi sana sema tunakuwa tunayamezea moyoni tu, inafikia kipindi sasa inakuwa huwezi kuongea na mwanamke mpaka ubadilishe uelekeo ili umfuate anakokwenda hata kama ulikuwa unakwenda basi itakulazimu urudi ulikotoka kana kwamba Mwanamke hawezi kusimama na kukusikiliza unachotaka kumwambia. Wengi visingizio wanavyovitoa eti hawawezi kusimama kwasababu wapo busy(jinga kabisa)

Sasa washkaji zangu eeeh mimi nataka nitiririke maujanja ya kumsimamisha mwanamke unayekutana nae njiani kwa ulaniiini kabisaa. Ni vile hamjui tu kwamba kumfanya mwanamke asimame na akusikilize ni rahisi zaidi ya kuwateka wasananii.
Ila kabla ya kumwaga maujanja ningependa kuona ni wangapi wanakumbana na hiyo kadhia? Nisijekujikuta namfundisha mwalimu jinsi ya kufundisha.
 
Aseeeh kuna siku niliambiwa nimwite mwanamke na mzee mmoja hivi halafu ilikuwa ishu ya muhimu baba yake alipata ajali.

Kama kawaida akanya huku anatembea ila baadae alikuja kujiona boya.
Hiyo hali inawakosti sana tena saaana.
Kuna demu aliwahi kuangusha wallet maeneo ya town,
na nilikuwa na mshkaji wangu tuko nyuma yake, basi nilimzui mshkaji wangu asiiokote wala nini na wala asimshitue, japokuwa jamaa aliforce sana na kuniona katili lakini ilinibidi nifanye vile ''haipunguzi maumivu, inarudisha hadhi ya kiume''
 
Hiyo hali inawakosti sana tena saaana.
Kuna demu aliwahi kuangusha wallet maeneo ya town,
na nilikuwa na mshkaji wangu tuko nyuma yake, basi nilimzui mshkaji wangu asiiokote wala nini na wala asimshitue, japokuwa jamaa aliforce sana na kuniona katili lakini ilinibidi nifanye vile ''haipunguzi maumivu, inarudisha hadhi ya kiume''
Hahaha ninja mtenda hutendwa
 
Mkuu mi kumsimamisha sio tatizo..Tatizo nikianza kuongea nao wanajibu kiinglishi sijui kwann..Naishia kujitambulisha tu na kumwambia Bye..Embu kwenye notes zako ugusie na hilo
Usijali mkuu, ngoja tuone uhitaji wa raia
 
Ivi!!! Tutasimama tuwasikilize wangapi??? Mda mwingine unajikuta una dakika 15 tu ufike unapoenda, wakikusimamisha wakaka watatu tu njiani washakuvurugia ratiba....
Wakaka wengine hawajui kusimamisha mtu kweli!!! Inabidi unatumia mbinu ambayo mdada atalazimika kukusikiliza!!!
Juzi kati hapo nilikua natembea, nikawa nasikia mtu anatembea nyuma yangu... Baada ya mda kidogo mkaka akaongea "Nimevutiwa na spray yako mpaka nimesahau nilikua naenda wapi!" Yaani ilibidi nisimame na kugeuka na kucheka... Mkaka alikua serious na maongezi yakaanzia hapo.
Sio lijitu linaanza tu "Psssssii!!! Samahani dada, sijui nimekufananisha!!!" Mxiuuuuu!!!
Ni busara kumsikiliza kila anaekusimamisha ila sekunde tano tu zinatosha kujua nia ya msimamishaji!!!
 
Mkuu inaonekana huwa unasaka njia za kutukomboa sisi kambi ya kiumeni dhidi ya vibweka visivyoisha vya hii jinsia pinzani ya KE. Naunga mkono mapambano yako.
 
Ivi!!! Tutasimama tuwasikilize wangapi??? Mda mwingine unajikuta una dakika 15 tu ufike unapoenda, wakikusimamisha wakaka watatu tu njiani washakuvurugia ratiba....
Wakaka wengine hawajui kusimamisha mtu kweli!!! Inabidi unatumia mbinu ambayo mdada atalazimika kukusikiliza!!!
Juzi kati hapo nilikua natembea, nikawa nasikia mtu anatembea nyuma yangu... Baada ya mda kidogo mkaka akaongea "Nimevutiwa na spray yako mpaka nimesahau nilikua naenda wapi!" Yaani ilibidi nisimame na kugeuka na kucheka... Mkaka alikua serious na maongezi yakaanzia hapo.
Sio lijitu linaanza tu "Psssssii!!! Samahani dada, sijui nimekufananisha!!!" Mxiuuuuu!!!
Ni busara kumsikiliza kila anaekusimamisha ila sekunde tano tu zinatosha kujua nia ya msimamishaji!!!
Well said Paprika !
Umeongea point sana, hapo kinachotufelisha ni kuendelea kuwasimamisha wanawake kwa njia zilizopitwa na wakati,
inabidi ubunifu uwepo.
Wanawake wanapenda kusifiwa kwa kitu walichonacho na hata wasicho nacho, na ukweli ni kwamba wanaume papara zetu zinatufanya mpaka tunaangukia pua
 
Aseeeh kuna siku niliambiwa nimwite mwanamke na mzee mmoja hivi halafu ilikuwa ishu ya muhimu baba yake alipata ajali.

Kama kawaida akanya huku anatembea ila baadae alikuja kujiona boya.
wanakunyaje jamani? mbona tungo tata? yaan wanakunya kabisa au?
 
Ivi!!! Tutasimama tuwasikilize wangapi??? Mda mwingine unajikuta una dakika 15 tu ufike unapoenda, wakikusimamisha wakaka watatu tu njiani washakuvurugia ratiba....
Wakaka wengine hawajui kusimamisha mtu kweli!!! Inabidi unatumia mbinu ambayo mdada atalazimika kukusikiliza!!!
Juzi kati hapo nilikua natembea, nikawa nasikia mtu anatembea nyuma yangu... Baada ya mda kidogo mkaka akaongea "Nimevutiwa na spray yako mpaka nimesahau nilikua naenda wapi!" Yaani ilibidi nisimame na kugeuka na kucheka... Mkaka alikua serious na maongezi yakaanzia hapo.
Sio lijitu linaanza tu "Psssssii!!! Samahani dada, sijui nimekufananisha!!!" Mxiuuuuu!!!
Ni busara kumsikiliza kila anaekusimamisha ila sekunde tano tu zinatosha kujua nia ya msimamishaji!!!
Umenena vyema..Btw ni Spray gani hiyo na mimi nimnunulie wifi yako..
 
Kuna wanawake skuizi wanajigeuza ng'ombe wanajisaidia huku wanatembea ili kusave muda....
Twende mdogo mdogo mtanilewewa tu
'
Jana Kuna mshkaji wangu alikuwa ananiomba ushauri wa jinsi ya kumsimamisha mwanamke anayepishana anae njiani,
Manake anahisi kuna sehemu huwa anakosea labda kwasababu anasema kila Demu anayemsimamisha ili amtongoze au kuongea nae kuhusu ishu nyengine basi yule mwanamke ndio anakuwa kama amezidishiwa speed za miguu..!
'
Na suala hili linatutokea wanaume wengi sana sema tunakuwa tunayamezea moyoni tu,
Inafikia kipindi sasa inakuwa huwezi kuongea na mwanamke mpaka ubadilishe uelekeo ili umfuate anakokwenda hata kama ulikuwa unakwenda basi itakulazimu urudi ulikotoka kana kwamba Mwanamke hawezi kusimama na kukusikiliza unachotaka kumwambia...
Wengi visingizio wanavyovitoa eti hawawezi kusimama kwasababu wapo busy(jinga kabisa)
....
Sasa washkaji zangu eeeh mimi nataka nitiririke maujanja ya kumsimamisha mwanamke unayekutana nae njiani kwa ulaniiini kabisaa
Ni vile hamjui tu kwamba kumfanya mwanamke asimame na akusikilize ni rahisi zaidi ya kuwateka wasananii....
Ila kabla ya kumwaga maujanja ningependa kuona ni wangapi wanakumbana na hiyo kadhia? Nisijekujikuta namfundisha mwalimu jinsi ya kufundisha....
mkuu hili tatizo lilikuwa linanitokea sana wakati nipo mkoani halafu nina baiskeli choka mbaya. ila now sio mjini wala mkoani kwetu nikienda lazima wajilengeshe wenyewe maana kagari kangu kanawachanganya. we unadhani ile mob ya watu wanaosubiri daladala jioni jijini mfano pale ubungo darajani,mnazi mmoja au buguruni kwenda gongolamboto au mbagala halafu umuite mtoto kwa nidhamu unadhani atakataa lazima aingie kwenye gari siku mbili mbele mnaitana my dear. GARI FUNDI BWANA!!!
 
Back
Top Bottom