Hawa utumishi wangeweka ratiba tofauti ya interview sababu siku moja kuna interview ya nssf, magereza, TAA, na wakala wa vipimo, na wafanyaji wa interview ni watu wale wale wanajirudia, ushauri siku nyingine mpeane mda.
Hizi ni mamlaka tofauti zinazojitegemea kiutendaji. Kwa hayo wasailiwa wanatakiwa "wajiongeze" wengewe.
Kila la kheri wasailiwa wa hizo interviews za 13/12/2014..
Hawa utumishi wangeweka ratiba tofauti ya interview sababu siku moja kuna interview ya nssf, magereza, TAA, na wakala wa vipimo, na wafanyaji wa interview ni watu wale wale wanajirudia, ushauri siku nyingine mpeane mda.
Taasisi tofauti na wanafanya maamuzi tofauti.. hiyo ni coincidence kwako tu wala si kwao.. Sio kila jambo la kulalamika.. cha msingi ni kufanya maamuzi..