je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,883
- 3,621
Tanzania ni nchi isiyotaka kuenda sawa na Dunia ya kileo. Bado uswahili mwingi mno ,
Niende kwenye mada. Leo nilitumiwa kihela kidogo tu kutoka huko nchi za wenzetu, basi nikaenda bank ya karibu yangu kutoa kupitia moneygram, doh salaleeeeeee
Nimepigwa maswali kama ya DP World wakati Hela yenyewe hata Milion 1 haifiki. Sasa Mimi nikaanza kujibishana na teller badala ya kumjibu kiufasaha kwa sababu imeniuma kuona Hela ndogo alafu maswali ni mengi KULIKO Hela yenyewe
Eti wanataka Hadi supporting documents kwnn umetumiwa hiyo Hela. Nimechoka choke Yan kahela haka ndio maswali chungu mzima ATI aliekutumia unafajamiana nae tangia muda gani?
Yaani maswali ni mengi siwezi kuya andika hpa naona kama pages za jamiiforums hazitoshi. Ndio maana yule bwana alienda kufunguka ofisi Kenya mana hapa tz ni upuuzi kwa kwenda mbele
Badala waruhusu Hela ziingie zaidi kutoka abroad wao ndio kwanza wanatengeneza vikwazo au wanapenda hela ziwe zinaenda tu nje ya nchi kununua bidhaaaa?
Wanaogopa Nini haswa?
Ndio sheria mpya au Kuna nini
Niende kwenye mada. Leo nilitumiwa kihela kidogo tu kutoka huko nchi za wenzetu, basi nikaenda bank ya karibu yangu kutoa kupitia moneygram, doh salaleeeeeee
Nimepigwa maswali kama ya DP World wakati Hela yenyewe hata Milion 1 haifiki. Sasa Mimi nikaanza kujibishana na teller badala ya kumjibu kiufasaha kwa sababu imeniuma kuona Hela ndogo alafu maswali ni mengi KULIKO Hela yenyewe
Eti wanataka Hadi supporting documents kwnn umetumiwa hiyo Hela. Nimechoka choke Yan kahela haka ndio maswali chungu mzima ATI aliekutumia unafajamiana nae tangia muda gani?
Yaani maswali ni mengi siwezi kuya andika hpa naona kama pages za jamiiforums hazitoshi. Ndio maana yule bwana alienda kufunguka ofisi Kenya mana hapa tz ni upuuzi kwa kwenda mbele
Badala waruhusu Hela ziingie zaidi kutoka abroad wao ndio kwanza wanatengeneza vikwazo au wanapenda hela ziwe zinaenda tu nje ya nchi kununua bidhaaaa?
Wanaogopa Nini haswa?
Ndio sheria mpya au Kuna nini