Ndivyo alivyo, Haradani tu

Kasie

Platinum Member
Dec 29, 2013
21,473
37,525
Kumbee ndivyo ilivyo,

Naanza kwa kufikiri na kutizama naona kama maono nakuja kugundua kumbee ndivyo alivyooo looh! Sina hamu Kasinde mie najuta kumuamkia adult kumbe kinda la ndege khaaa! Nilifikiri nimechanganyikiwa kwa kusema hivi kumbe ndivyo alivyo. Nilidhani ndoto kuwa asubuhi kutakucha niamke kumbe ndivyo alivyo.

Ukimuona sasa Utashaa! Binti ni mpole, ana huruma, si mwepesi wa hasira, amejaa neema zote uzijuazo muda wote anawaza na kusema mema kumbe sivyo alivyo. Mawazo yake yamejaa busara na hekima tele, si kama wawazavyo vizabizabina loooh kumbe sivyo alivyoo. Ukimtazama sana haeleweki katikati ya mabinti kumbe ndivyo ulivyoo.

Ukiwa na shida haishi kukufariji kwa sauti nyororo na tamu ya kubembeleza kumbe ndivyo alivyo. Usiku na mchana ahalali usingizi kukusaidia ulipokwama, huingilia kati pale anapoona unaonewa na kuweka mambo sawa kumbe sivyo alivyo.
Binti hovyo huyu, wema wote huu kumbe alikuwa anachunguza file langu katumwa na FBI.

Binti nishamfukuza home saivi niko alone, mienilijua niko na binti wa kunisaidia kazi kumbe niko na shushushu, shushushu karata ya mavi ya mbuzi kaicheza vibaya nikamkamata na Jokeri out of the game na last card mkononi, akapiga simu makao makuu kuomba msaada baada ya kuona kakosea mahali.

Binti baada ya kuona nimemfukuza akaanza tukana matusi yote anayoyajua miye nikamuona punje ya haradani, tuu tupa kuleee weka tinted sunglassed, funga vioo nduki yule nimemuachia manyoya na vumbi tuu hata namba ashindwa kuisoma kabaki anapangusa uso tuu hahahahahahahaaaa.

Poleee binti ulinikamata mwanzoni kwakuwa sikujua ukoje kumbee ndivyo ulivyoo.Binti, siku nyingine ukimuona Kasie umuangalie vizuri kasha upite kando sio unamvaa kichwa kichwa, na nyie FBI mjipange upya your plan A fails na plan B to J yenu ninayo you better run to plan Z. Kashata za karanga!

NB: As usual, if u didn't get a point here it weren't mean for u. Rush out and leave it for others.

Kasie
 
haya sasa kumekuchaaaaaaa
ivi ndo kwanzaaa nusu mwaka huuu

BTW usikute unajifariji tu lkn katika the small info alopata tayari washapata pa kuanzia.
ujue iko kama mtoto alodondoka akisimama hadondokei tena pale alipodondoka manake tayari atakuwa kesha piga hatua.
ukidhan umewatoka kumbe baado ndo kwanza wamekupakata.....
 
haya sasa kumekuchaaaaaaa
ivi ndo kwanzaaa nusu mwaka huuu

BTW usikute unajifariji tu lkn katika the small info alopata tayari washapata pa kuanzia.
ujue iko kama mtoto alodondoka akisimama hadondokei tena pale alipodondoka manake tayari atakuwa kesha piga hatua.
ukidhan umewatoka kumbe baado ndo kwanza wamekupakata.....

I have all the data about them na hawajapata walichokuwa wanakitafuta wamechukia mnoooo
 
Yupo humu huyo spy?

Actually ni SPY ya ofisini kuna ka ufisadi fani hivi kanaendelea sasa kujifanya wema sana kuniweka position za juu kazini na kunifanya nakuwa busy hadi kunitafudia dada wa kunisaidia kazi nyumbani kumbe kazi yake kunifokonyoa.

Baadhi ya watu hapa ofcn kwetu wako JF japo hatujuani ID zetu.
Nimewagundua mapemaaaa.
 
Actually ni SPY ya ofisini kuna ka ufisadi fani hivi kanaendelea sasa kujifanya wema sana kuniweka position za juu kazini na kunifanya nakuwa busy hadi kunitafudia dada wa kunisaidia kazi nyumbani kumbe kazi yake kunifokonyoa.

Baadhi ya watu hapa ofcn kwetu wako JF japo hatujuani ID zetu.
Nimewagundua mapemaaaa.


mmmmmmh...............
sasa kwa hapa hata hii anonymous haijakusaidia
manake possibility ya hao ofc mate wako kuconnect dots ipo
no wonder ukajikuta kwenye hali mbaya zaid..........
BTW kila la heri
 
mmmmmmh...............
sasa kwa hapa hata hii anonymous haijakusaidia
manake possibility ya hao ofc mate wako kuconnect dots ipo
no wonder ukajikuta kwenye hali mbaya zaid..........
BTW kila la heri
Waombee kheri FBI mie nshawabwaga kulee nimewaacha wanapangusa vumbi kwenye kope zao.
Wakonekti wa diskonekti dotsi watajibebraaa
Kasie on high heels ko ko ko ko in the corridors hehehheheeeee
Yaani leo wamekomajeee nawasikia wanasonyaa tuu hapa ofcn wanapindisha midomo utasema wamepata 1/2 body paralysis mie napita tuuu ko ko ko ko Kasie....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom