Ndimara awindwa ajisalimisha polisi

Isango

R I P
Joined
Jul 23, 2008
Posts
295
Reaction score
450
Mwandishi mkongwe nchini Ndimara Tegambwage akiwa anatoka ktk shughuli zake amefuatiliwa na watu wasiojulikana kwa namna isiyo ya kawaida akalazimika kugeuza na kujisalimisha kituo cha polisi wazo Hill, ndipo polisi wenye silaha wakamsaidia kufika kwake
 
Vipi anatafutwa atumbuliwe jipu nini ? Najua huyu mzee ni kada wa majipu.
 
Pole yake mzee wetu huyu. Na pia ashukuru sana Mungu kwa kushtukia hali hiyo mapema. Vinginevyo sasa tungekuwa tunazungumza habari za Mabwepande.
 
Tunakushukuru kiongozi kwa taarifa
 
Vipi anatafutwa atumbuliwe jipu nini ? Najua huyu mzee ni kada wa majipu.
Majipu yamejaa ndani ya serikali bado hayajaisha hivyo hakujawa na umuhimu wa kutafuta ya nje
 
Huu ni ukanjanja...sijaona detailed info iliyokufanya useme anawindwa...huyu mwalimu wenu waandishi wa Tanzania anastahili kunyongwa...
 
Hivi kweli kama mtu anajua adress yako atahangaika kukufuatilia mji mzima kweli?,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…