Mwandishi mkongwe nchini Ndimara Tegambwage akiwa anatoka ktk shughuli zake amefuatiliwa na watu wasiojulikana kwa namna isiyo ya kawaida akalazimika kugeuza na kujisalimisha kituo cha polisi wazo Hill, ndipo polisi wenye silaha wakamsaidia kufika kwake