Hakuna watu nawadharau kama wanaoubeza uchawi. Haya, mnaosema kuwa hakuna, njooni mueleze hiki chombo kilitokea wapi na klilikuwa kikielekea wapi. Je, ni mafuta yaliisha au ni rubani alipotea njia?? Uchawi upo ila wanapokosea na kutaka kumdungua asiyedunguliwa hayo ndo madhara yake. Utapotea njia au utapungukiwa na nguvu.