EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Kombora limerushwa kutoka kwa ndege ya Urusi karibu na ndege isiyo na silaha ya RAF iliyokuwa ikishika doria kwenye Bahari Nyeusi, waziri wa ulinzi amesema.
Ben Wallace alisema tukio hilo "linaweza kuwa hatari" lilitokea tarehe 29 Septemba katika anga ya kimataifa.
Urusi ilisema kuwa ni matokeo ya "hitilafu ya kiufundi".
Doria za Uingereza katika Bahari Nyeusi zilisitishwa lakini sasa zimeanza tena na zinasindikizwa na ndege ya kivita kufuatia jibu la Urusi.
Bw Wallace aliwaambia wabunge tukio hilo halichukuliwi kama "kuenedelezwa kwa makusudi" kwa vita vya Ukraine na vikosi vya Urusi.
============
Jamaa anamaanisha anaposema atalinda mipaka yake UK anajifanya kiranja wa EU kawashiwa redlight
Ben Wallace alisema tukio hilo "linaweza kuwa hatari" lilitokea tarehe 29 Septemba katika anga ya kimataifa.
Urusi ilisema kuwa ni matokeo ya "hitilafu ya kiufundi".
Doria za Uingereza katika Bahari Nyeusi zilisitishwa lakini sasa zimeanza tena na zinasindikizwa na ndege ya kivita kufuatia jibu la Urusi.
Bw Wallace aliwaambia wabunge tukio hilo halichukuliwi kama "kuenedelezwa kwa makusudi" kwa vita vya Ukraine na vikosi vya Urusi.
============
Jamaa anamaanisha anaposema atalinda mipaka yake UK anajifanya kiranja wa EU kawashiwa redlight