FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
Nasikia zilitumika bilioni sitini ya miaka zaidi ya kumi iliyopita. Nasikia eti Mramba aliomba Watanzania wote wale nyasi kwa muda ili zipatikane fedha za kuinunua, hivi iko wapi? Na haiwezi ikafanyiwa modification ili wapewe ATCL wabebee abiria kwenda hata sauzi tu?
===========================
Update: 23/02/2022
==========================
Update 29/07/2023
===========================
Update: 23/02/2022
Ni nani hasa huitumia ndege ya Rais wetu 5H- ONE Gulfstream G550 maana inaonekana ikizurula tu mikoani na kupaki Zanzibar?
Hii ndege ya rais iliyonunuliwa kwa bei ya $40,000,000 kwa nini haikutumika kumpeleka rais Belgium/France na nchi nyingine za magharibi na badala yake inazurura tu mikoani pasipo kuwa na ratiba maalamu. Sisi walipa kodi tuna haki ya kujua ndege iliyonunuliwa kwa hela zetu kwa nini inazurura...
www.jamiiforums.com
==========================
Update 29/07/2023
Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia
Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia! Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA. Chuma hiki hapa kimeonekana kimetua Oman jana...
www.jamiiforums.com