GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,175
Na mpaka muda huu GENTAMYCINE naandika hapa Wamefanikiwa Kushusha Mabegi Sita yenye Hirizi, Nazi, Mkojo wa Kenge, Sikio la Kicheche, Kende za Fisi na Mayai Viza ila Begi Moja limekataa Kutolewa katika Ndege hivyo juhudi Kali zinaendelea Kulishusha.
Yanga SC bhana yaani Ndege ya Watu 259 nyie mmejaza Waganga wa Kienyeji 73 hata Aibu hamna.
Yanga SC bhana yaani Ndege ya Watu 259 nyie mmejaza Waganga wa Kienyeji 73 hata Aibu hamna.