Kweli tupo wachache ila hata wale wanaotumia magari kuanzia tarehe 1 mpaka 10 alafu baadae wanazimikiwa mafuta mwisho wa siku kuanzia tarehe 20 wanamalizia mwezi kwa kupanda daladala si wenzetu pia.
Back to the topic: mara daladala linapishana na gari ndogo bahati mbaya mwenye gari ni mwanamama sasa namna ya kuachiana njia inakuwa shida "amehongwa gari huyo dada siku mbili tu ameingia barabarani, anatuchelewesha" na akiwa mwanamume..."gari lenyewe la mkopo alafu anatuwekea usiku hapa"