CCM kwa mujibu ya viongozi wa chadema hakuna fisadi ila tatizo ni mfumo tu.LOWASSA ni mtu safi ninani basi fisadi ndani ya ccm?
labda tumuulize mbowe ,mnyika,slaa,lipumba watuambie je ccm kunamafisadi? hakuna ushahidi wowote unaoonyesha ccm wapo mafisadi kwasababu hata waliokuwa wanamtaja naye kaonekana sio fisadi.
CCM HAKUNA FISADI TATIZO TULIDANGANYWA NA DR SLAA NA WENZAKE