Ndani ya CCM mafisadi hakuna!?


Afadhali mkuu umemjibu huyu mganga njaa wa ccm
 
Kwakosa gani wamelifanya?

Hivi unajua kusoma na kuelewa kilichoandikwa?Makosa yao wanayajua kamati ya maadili kwasababu waliwachunguza na kuwaondoa kwakuwa hawana maadili!Au wewe kwa uelewa wako nini maana ya kukosa maadili?Walizitendea nini ofisi za serikali mpaka waonekane hawana maadili?
 
Pinda,Bilal waliwekwa kimpango mkakati.


Ndio wakubali sasa kuwa hakukuwa na demokrasia!Kama unaweka watu ili uje umuondoe mtu Fulani ili watu wakihoji uje useme mbona na huyu alikatwa!
 
toka kwenye fikra za kimapinduzi mzungu alisha ondoka njoo kwenye maendeleo
 

UKAME baharini.maji yatapatikana wapi?
 
CCM kwa mujibu ya viongozi wa chadema hakuna fisadi ila tatizo ni mfumo tu.LOWASSA ni mtu safi ninani basi fisadi ndani ya ccm?

labda tumuulize mbowe ,mnyika,slaa,lipumba watuambie je ccm kunamafisadi? hakuna ushahidi wowote unaoonyesha ccm wapo mafisadi kwasababu hata waliokuwa wanamtaja naye kaonekana sio fisadi.

CCM HAKUNA FISADI TATIZO TULIDANGANYWA NA DR SLAA NA WENZAKE
 

Unajua nina chokimaanisha ndio hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…