CHAMVIGA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 7,687
- 2,240
Mwenye ushahidi wa ufisadi wa kiongozi yeyote wa CCM aulete na hatutaki porojo na asiishie kuusema tu amfikishe huyo fisadi kunakohusika.
Kwasasa CHADEMA/UKAWA wamedhihirisha kwamba CCM ni chama cha kizalendo na mafisadi hakuna. RAIS JKIKWETE SAAFI,MKAPA SAAFI,CHENGE SAAFI,N.K
na ndio walivyojizika rasmi kisiasa wapinzani kwani ile slogani ya ufisadi sasa haina mantiki tena.
Kwasasa CHADEMA/UKAWA wamedhihirisha kwamba CCM ni chama cha kizalendo na mafisadi hakuna. RAIS JKIKWETE SAAFI,MKAPA SAAFI,CHENGE SAAFI,N.K
CCM kwa mujibu ya viongozi wa chadema hakuna fisadi ila tatizo ni mfumo tu.LOWASSA ni mtu safi ninani basi fisadi ndani ya ccm?
labda tumuulize mbowe ,mnyika,slaa,lipumba watuambie je ccm kunamafisadi? hakuna ushahidi wowote unaoonyesha ccm wapo mafisadi kwasababu hata waliokuwa wanamtaja naye kaonekana sio fisadi.
CCM HAKUNA FISADI TATIZO TULIDANGANYWA NA DR SLAA NA WENZAKE
na ndio walivyojizika rasmi kisiasa wapinzani kwani ile slogani ya ufisadi sasa haina mantiki tena.