Ndani ya CCM mafisadi hakuna!?

CHAMVIGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
7,687
Reaction score
2,240
Mwenye ushahidi wa ufisadi wa kiongozi yeyote wa CCM aulete na hatutaki porojo na asiishie kuusema tu amfikishe huyo fisadi kunakohusika.

Kwasasa CHADEMA/UKAWA wamedhihirisha kwamba CCM ni chama cha kizalendo na mafisadi hakuna. RAIS JKIKWETE SAAFI,MKAPA SAAFI,CHENGE SAAFI,N.K



na ndio walivyojizika rasmi kisiasa wapinzani kwani ile slogani ya ufisadi sasa haina mantiki tena.
 

Kwanza tunaomba kujua ile list ya waliogawana fedha pale stanbic,baada ya hapo ndio tutaendelea
 
Kwanza tunaomba kujua ile list ya waliogawana fedha pale stanbic,baada ya hapo ndio tutaendelea
Tibaijuka aliyemuunga mkono lowassa alipoanza safari ya matumaini....
 

Unawapigia vigeregere majambazi?
 

Attachments

  • 1438505911278.jpg
    7.9 KB · Views: 156
hizi ndizo akili nyingi za wanachama wa ccm hata ukiwa professor au Dr ukiwa tu mwanachama wa ccm lazima u prof na u Dr wako uweke pembeni zinabaki zidumu fikra za mwenyekiti mkuu mbona unakuwa na matumizi mabovu ya akili namna hiyo? swali gani unauliza hata watoto waliotumboni mwa mama zao wanajua jinsi gani ccm ilivyo kiwanda cha kutendeneza mafisadi tena kwa kutumia technology ya hali ya juu
 
Pinda na wenzie walikatwa kwa kuwa hana maadili,sasa kwanini bado wanashikilia ofisi badala ya kuwajibika kisiasa!Wananchi tuelezwe ni VP watu hao walikiuka maadili ya kazi na hatua zipi zichukuliwe!
 
Pinda na wenzie walikatwa kwa kuwa hana maadili,sasa kwanini bado wanashikilia ofisi badala ya kuwajibika kisiasa!Wananchi tuelezwe ni VP watu hao walikiuka maadili ya kazi na hatua zipi zichukuliwe!

Pinda,Bilal waliwekwa kimpango mkakati.
 
CCM vichekesho Makamu Wa Raid Na Waziri Mkuu wake hawana MAADILI tulitegemea wangeondolewa ktk NYADHIFA zao lakini mpaka Leo wapo Hiyo ndio CCM BWANA
 
CCM vichekesho Makamu Wa Raid Na Waziri Mkuu wake hawana MAADILI tulitegemea wangeondolewa ktk NYADHIFA zao lakini mpaka Leo wapo Hiyo ndio CCM BWANA

Wewe unadhani ndani ya CCM upo ufisadi? Ushahidi? Na je ni njia gani zitumike kuundoa tatizo?
 

Mafisadi gani wapo CCM? Mfano unao kwa vielelezo vyovyote?
 
Pinda na wenzie walikatwa kwa kuwa hana maadili,sasa kwanini bado wanashikilia ofisi badala ya kuwajibika kisiasa!Wananchi tuelezwe ni VP watu hao walikiuka maadili ya kazi na hatua zipi zichukuliwe!

Kwakosa gani wamelifanya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…