Nchi yetu miaka michache ijayo tutaanza kupambana na Wachina, wametapakaa kila kona ya hii nchi

Mtuflani Official

JF-Expert Member
Dec 31, 2019
1,950
4,390
Nchi yetu miaka michache ijayo tutaanza kupambana na Wachina. Inakuaje mchina anakuja nchini kufungua supermarket. Wachina wametapakaa kila kona ya hii nchi wanachukua fursa za Watanzania. Juzi bungeni mbunge wa Geita vijijini alitoa tahadhari kuhusu Wachina kupewa migodi wakati wana mitaji ambayo Watanzania wanaweza kuwa nayo. Nilisikitishwa sana na jibu la Mh Spika akidai kwamba mambo mengine ni kulinda diplomasia. Yaani mtu aje nchini kwako kuchukua fursa za wazawa wewe usite kuchukua hatua eti kisa diplomasia. Hii sio sahihi.

Pili kwanini tusirudishe sera ya Magufuli. Hakuna kuruhusu kampuni yeyote kuajiri zaidi ya raia wa 5 wakigeni. Hii itasaidia kujenga uwezo kwa raia wa Kitanzania. Magufuli aliweka kikomo kwenye vibali kwa raia wa Kigeni ili kuwezesha kujengewa uwezo. Hakuna kazi yeyote hapa nchini inashindwa kufanywa na wazawa . Imenichukua muda kuelewa kwanini Magufuli alichukua hii hatua. Hawa watu wanaipiga sana serikali kwa kupunguza makadirio ya mapato kwa sababu kuwaruhusu kwa wingi kwenye makampuni kunawawezesha kutengeneza mtandao wao vizuri. Ushahidi upo.

“Tusipoimarisha uwezo wa watu wetu kushiriki katika uchumi, tutajikuta tunagawana umaskini baadala ya kugawana utajiri. Ni kwa sababu watu wetu hawana ujuzi na elimu ndo maana tunapata wawekezaji uchwara ambao wanakuja kuchukua fursa za Watanzania……” Rostam Aziz
 
Swali la msingi kama ni swala la kulinda diplomasia ,je kuna mtanzania anaruhusiwa kumiliki mgodi CHINA 🇨🇳
 
Nchi yetu miaka michache ijayo tutaanza kupambana na Wachina. Inakuaje mchina anakuja nchini kufungua supermarket. Wachina wametapakaa kila kona ya hii nchi wanachukua fursa za Watanzania. Juzi bungeni mbunge wa Geita vijijini alitoa tahadhari kuhusu Wachina kupewa migodi wakati wana mitaji ambayo Watanzania wanaweza kuwa nayo. Nilisikitishwa sana na jibu la Mh Spika akidai kwamba mambo mengine ni kulinda diplomasia. Yaani mtu aje nchini kwako kuchukua fursa za wazawa wewe usite kuchukua hatua eti kisa diplomasia. Hii sio sahihi.

Pili kwanini tusirudishe sera ya Magufuli. Hakuna kuruhusu kampuni yeyote kuajiri zaidi ya raia wa 5 wakigeni. Hii itasaidia kujenga uwezo kwa raia wa Kitanzania. Magufuli aliweka kikomo kwenye vibali kwa raia wa Kigeni ili kuwezesha kujengewa uwezo. Hakuna kazi yeyote hapa nchini inashindwa kufanywa na wazawa . Imenichukua muda kuelewa kwanini Magufuli alichukua hii hatua. Hawa watu wanaipiga sana serikali kwa kupunguza makadirio ya mapato kwa sababu kuwaruhusu kwa wingi kwenye makampuni kunawawezesha kutengeneza mtandao wao vizuri. Ushahidi upo.

“Tusipoimarisha uwezo wa watu wetu kushiriki katika uchumi, tutajikuta tunagawana umaskini baadala ya kugawana utajiri. Ni kwa sababu watu wetu hawana ujuzi na elimu ndo maana tunapata wawekezaji uchwara ambao wanakuja kuchukua fursa za Watanzania……” Rostam Aziz
Hao wanachojua ni kupambana na chadema tu
 
Nchi yetu miaka michache ijayo tutaanza kupambana na Wachina. Inakuaje mchina anakuja nchini kufungua supermarket. Wachina wametapakaa kila kona ya hii nchi wanachukua fursa za Watanzania. Juzi bungeni mbunge wa Geita vijijini alitoa tahadhari kuhusu Wachina kupewa migodi wakati wana mitaji ambayo Watanzania wanaweza kuwa nayo. Nilisikitishwa sana na jibu la Mh Spika akidai kwamba mambo mengine ni kulinda diplomasia. Yaani mtu aje nchini kwako kuchukua fursa za wazawa wewe usite kuchukua hatua eti kisa diplomasia. Hii sio sahihi.

Pili kwanini tusirudishe sera ya Magufuli. Hakuna kuruhusu kampuni yeyote kuajiri zaidi ya raia wa 5 wakigeni. Hii itasaidia kujenga uwezo kwa raia wa Kitanzania. Magufuli aliweka kikomo kwenye vibali kwa raia wa Kigeni ili kuwezesha kujengewa uwezo. Hakuna kazi yeyote hapa nchini inashindwa kufanywa na wazawa . Imenichukua muda kuelewa kwanini Magufuli alichukua hii hatua. Hawa watu wanaipiga sana serikali kwa kupunguza makadirio ya mapato kwa sababu kuwaruhusu kwa wingi kwenye makampuni kunawawezesha kutengeneza mtandao wao vizuri. Ushahidi upo.

“Tusipoimarisha uwezo wa watu wetu kushiriki katika uchumi, tutajikuta tunagawana umaskini baadala ya kugawana utajiri. Ni kwa sababu watu wetu hawana ujuzi na elimu ndo maana tunapata wawekezaji uchwara ambao wanakuja kuchukua fursa za Watanzania……” Rostam Aziz
Sidhani kama kipo kitengo cha namma hii, hata kama kipo basi kitakuwa kimejaa chawa wa Wanasiasa ambao pengine hawajui hata definition ya neno uchumi.
 
Juzi hapa Tundu Lissu aliwafungua macho na kuwaambia kwamba JW ilikuwa, limekuwa na lilianzishwa na TANU Youth League.

Hadi hapo Kuna nini Tena unatakiwa ueleweshwe?
 
Shida ya TZ ni uwepo wa CCM.

Kwa hiyo usiwe unaongelea matatizo, ongelea ni namna gani ya kuitoa CCM.
 
Kizimkazi mwenyewe kawa dalali wa DP-WORLD.wateule nao wanaangalia palipo bakia.


KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom