IRINGA MOJA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 503
- 229
Ni ukweli usio na shaka ya kwamba nchi yetu imefikia mahali ambapo haimuhitaji mwanasiasa kuwa kiongozi wa nchi bali KIONGOZI MTENDEJI mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu wakati wowote na kwa mtu yeyote pasopokujali wadhifa wala itikadi. tunahitaji mtu wa kututoa hapa tulipo na kutupeleka mbele zaidi kama taifa, kutoka kwenye aina ya uchumi tulionao mpaka uchumi wa kati hasa ukizingatia utajiri mkubwa wa gesi tulonao. naamini yupo kiongozi wa namna hii na hakika kama taifa tutapiga hatua zaidi.