MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,302
Tangu lini wanawake wakawa na uchungu na mali aliyotafuta Baba wao kazi yao ni kutumia na kula bata.Kosa kubwa tumewapa wamama mihimili mikuu hili ni kosa na vita vikitokea watakaoumia zaidi ni Wanaume wa Tanganyika,wanaume amkeni amkeni naseama amkeni.Chelewa chelewa utakuta mwana si wako.Sasa ni wazi kuwa Sakata la Bandari limetugawanya MAPANDE MAWILI. Wapo wanaopinga mkataba tata na Wapo Wanaounga Mkono.
Sababu kubwa za kupinga ni pamoja na usiri, utata na Namna Mchakato mzima wa Ulivyofanyika wa Kumpata DP WORLD na Kesi za DP WORLD na Nchi mbalimbali katika Masuala ya Bandari.
Watanganyika Wanauliza
Kwanini Mkataba hauna Ukomo? Nani alimtafuta mwenzake ni DP WORLD au ni Serikali? Kama ni Serikali mbona tenda haikutangazwa kama Sheria inavyotaka? Kama ni DP WORLD kwanini alileta hili wazo ana uchungu gani na bandari yetu?
Kwanini Wafanyabiashara Wakubwa kina Rostam Aziz wanashabikia sana Bandari kuwekezwa wana maslahi gani? Kwanini wabunge, Waandishi wa Habari walipelekwa Dubai kwa suala hili mbona kwa Wawekezaji wengine hatusikii kwenda?
Kwanini wadau wa masuala ya bandari hawakupewa muda wa kutosha kutoa maoni na Mapendekezo yao?
Maswali ni mengi, yote hayo yanaleta utata wa mkataba huu. Kwanini wabunge wanatumia nguvu kubwa kuwatisha Watu wanaokosoa huu Mkataba?
Tunaambiwa DP WORLD ataongeza Mapato Wakati mapato ya bandari yanaibiwa na Watendaji wetu na Hakuna hatua zinazochukuliwa (Report ya CAG na PAC ya BUNGE).
Watanganyika tunataka bandari yetu huu ni Mkataba umeshamiri Usiri unaifichwa na Wahusika huwezi kuwa na Mkataba unaompa maslahi makubwa mpangaji kuliko mwenye Nyumba huwezi kuwa na mkataba usioeleza ukomo wake.View attachment 2672545View attachment 2672546View attachment 2672547View attachment 2672548View attachment 2672549View attachment 2672550View attachment 2672551
Uwiiiiii punguza makali ili tufike tuendakoTangu lini wanawake wakawa na uchungu na mali aliyotafuta Baba wao kazi yao ni kutumia na kula bata.Kosa kubwa tumewapa wamama mihimili mikuu hili ni kosa na vita vikitokea watakaoumia zaidi ni Wanaume wa Tanganyika,wanaume amkeni amkeni naseama amkeni.Chelewa chelewa utakuta mwana si wako.
HATUONDOKI KWENYE MJADALA WA BANDARI MPAKA KIELEWEKEMajaribio yote kutuondoa kwenye mjadala wa BANDARI yameshindikana.
Kuna kiongozi mmoja aliwahi Sema kuwa sisi Watanzania hatuna tunalolijua zaidi ya kuongea na kudahau.
Tutajua tu mwisho wake.
mama anaupiga mwingiSasa ni wazi kuwa Sakata la Bandari limetugawanya MAPANDE MAWILI. Wapo wanaopinga mkataba tata na Wapo Wanaounga Mkono.
Sababu kubwa za kupinga ni pamoja na usiri, utata na Namna Mchakato mzima wa Ulivyofanyika wa Kumpata DP WORLD na Kesi za DP WORLD na Nchi mbalimbali katika Masuala ya Bandari.
Watanganyika Wanauliza
Kwanini Mkataba hauna Ukomo? Nani alimtafuta mwenzake ni DP WORLD au ni Serikali? Kama ni Serikali mbona tenda haikutangazwa kama Sheria inavyotaka? Kama ni DP WORLD kwanini alileta hili wazo ana uchungu gani na bandari yetu?
Kwanini Wafanyabiashara Wakubwa kina Rostam Aziz wanashabikia sana Bandari kuwekezwa wana maslahi gani? Kwanini wabunge, Waandishi wa Habari walipelekwa Dubai kwa suala hili mbona kwa Wawekezaji wengine hatusikii kwenda?
Kwanini wadau wa masuala ya bandari hawakupewa muda wa kutosha kutoa maoni na Mapendekezo yao?
Maswali ni mengi, yote hayo yanaleta utata wa mkataba huu. Kwanini wabunge wanatumia nguvu kubwa kuwatisha Watu wanaokosoa huu Mkataba?
Tunaambiwa DP WORLD ataongeza Mapato Wakati mapato ya bandari yanaibiwa na Watendaji wetu na Hakuna hatua zinazochukuliwa (Report ya CAG na PAC ya BUNGE).
Watanganyika tunataka bandari yetu huu ni Mkataba umeshamiri Usiri unaifichwa na Wahusika huwezi kuwa na Mkataba unaompa maslahi makubwa mpangaji kuliko mwenye Nyumba huwezi kuwa na mkataba usioeleza ukomo wake.View attachment 2672545View attachment 2672546View attachment 2672547View attachment 2672548View attachment 2672549View attachment 2672550View attachment 2672551
Mbona unaficha ukweli wenyewe kuwa ni CCM ndio msiba mkubwa hapa Tanganyika.Tangu lini wanawake wakawa na uchungu na mali aliyotafuta Baba wao kazi yao ni kutumia na kula bata.Kosa kubwa tumewapa wamama mihimili mikuu hili ni kosa na vita vikitokea watakaoumia zaidi ni Wanaume wa Tanganyika,wanaume amkeni amkeni naseama amkeni.Chelewa chelewa utakuta mwana si wako.
Wewe mwenyewe umelala mana huna unalofanya....Tangu lini wanawake wakawa na uchungu na mali aliyotafuta Baba wao kazi yao ni kutumia na kula bata.Kosa kubwa tumewapa wamama mihimili mikuu hili ni kosa na vita vikitokea watakaoumia zaidi ni Wanaume wa Tanganyika,wanaume amkeni amkeni naseama amkeni.Chelewa chelewa utakuta mwana si wako.
Kwa hiyo unataka nifanye nini ili ujue kuna jambo nafanya.Wewe mwenyewe umelala mana huna unalofanya....
Hata wale tuliowapa dhamana wenye tabia ya unyumbu wameanza kutoahirisha kufikiriMpaka sasa naona tupo salama, kadiri siku zinavyozidi kwenda nauona mshikamano mkubwa kwa makundi yote yenye nia njema na nchi hii kwenye sakata hili bandari kuanzia viongozi wa dini zote,wasomi ,viongozi wa upinzani, wananchi nk
Watanzania kwenye hili wamegawanyika zaidi ya mapande mawili.Sasa ni wazi kuwa Sakata la Bandari limetugawanya MAPANDE MAWILI. Wapo wanaopinga mkataba tata na Wapo Wanaounga Mkono.
Sababu kubwa za kupinga ni pamoja na usiri, utata na Namna Mchakato mzima wa Ulivyofanyika wa Kumpata DP WORLD na Kesi za DP WORLD na Nchi mbalimbali katika Masuala ya Bandari.
Watanganyika Wanauliza
Kwanini Mkataba hauna Ukomo? Nani alimtafuta mwenzake ni DP WORLD au ni Serikali? Kama ni Serikali mbona tenda haikutangazwa kama Sheria inavyotaka? Kama ni DP WORLD kwanini alileta hili wazo ana uchungu gani na bandari yetu?
Kwanini Wafanyabiashara Wakubwa kina Rostam Aziz wanashabikia sana Bandari kuwekezwa wana maslahi gani? Kwanini wabunge, Waandishi wa Habari walipelekwa Dubai kwa suala hili mbona kwa Wawekezaji wengine hatusikii kwenda?
Kwanini wadau wa masuala ya bandari hawakupewa muda wa kutosha kutoa maoni na Mapendekezo yao?
Maswali ni mengi, yote hayo yanaleta utata wa mkataba huu. Kwanini wabunge wanatumia nguvu kubwa kuwatisha Watu wanaokosoa huu Mkataba?
Tunaambiwa DP WORLD ataongeza Mapato Wakati mapato ya bandari yanaibiwa na Watendaji wetu na Hakuna hatua zinazochukuliwa (Report ya CAG na PAC ya BUNGE).
Watanganyika tunataka bandari yetu huu ni Mkataba umeshamiri Usiri unaifichwa na Wahusika huwezi kuwa na Mkataba unaompa maslahi makubwa mpangaji kuliko mwenye Nyumba huwezi kuwa na mkataba usioeleza ukomo wake.View attachment 2672545View attachment 2672546View attachment 2672547View attachment 2672548View attachment 2672549View attachment 2672550View attachment 2672551