swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,250
- 1,470
Hivi tutafakari hivi angeingia Madarakani Membe ambaye alikuwa ndiyo ameandaliwa na Mh.Mkwere hali ingekuaje,Mwendelezo wa Makontena ungekuwaje.Kama angeingia shost wa mkwere tungeumia kiasi gani!! Nafikiria nashindwa kujua haya yaliyofichuka yangekuwaje.
Hata kama sikumpigia kura JPM lakn kwa haya Membe angetuumiza sana maana angefanya kazi ileile ya mkwere.
Hata kama sikumpigia kura JPM lakn kwa haya Membe angetuumiza sana maana angefanya kazi ileile ya mkwere.