NCCR na MASLAHI YA TAIFA


Mchukia Fisadi,
Ahsante sana kwa mchango wako. Hata hivyo nasikitika sana mnapoamua kuchukulia mambo haya too personal, haya maneno ya kahangwa umesoma..umesoma, sijapenda mlivyoyaingiza katika mjadala huu. Hoja niliyowaomba watanzania wenzangu ni kujadili maslahi ya taifa, yawezekana mtoa hoja (NCCR) mmmemchukia sana kiasi cha kumtangazia kifo, well hayo yanabaki kuwa maamuzi yenu, lakini bado hoja iliyotolewa ni muhimu kwetu sote, awaye yeyote asidhani kulileta hili kwenu mimi nina maslahi binafsi, tambueni kwamba usomi mnaonishambulia nao kwa sasa unanipa riziki ya kunitosha kabisa.Nikiamua leo kuwa mbinafsi (kama wasomi wengine/baadhi wanavyofanya),nitajitoa katika mijadala inayolihusu taifa langu, jambo ambalo litakuwa ni usaliti.
Tafadhalini tujadili yahusuyo taifa letu, kama ni ufu wa NCCR basi ulianza na wewe uliyeamua kukimbia badala ya kukisahihisha chama kipenzi chako.
 
pole kahangwa....

Mbio za sakafuni huishia ukingoni.. Tanzania kuna chama kimoja tu kimebaki... CHADEMA, omba Mungu wakukubali aisee
 
Nimeanza kuwaamini watu Mbatia na NCCR yake ipo kwa maslahi ya CCM, tena kuiuwa CDM, tamko kama hili ndio linazidi kuijenga CDM, kama vp kamanda Machali njoo chadema tupige mzigo huko naona majungu, fitina na makundi... Join CDM mpiganaji wa ukweli
 
Imekaa kama tamko la Kafulila featuring Zitto, via NCCR anyway ni mtazamo tu!
 
Imekaa kama tamko la Kafulila featuring Zitto, via NCCR anyway ni mtazamo tu!

Tamko hili lilitolewa kabla wewe hujajiunga JF, kabla kafulila hajawa mwanachama wa NCCR-Mageuzi, na lilitokana na malumbano yaliyokuwako wakati ule, hususan suala la OIC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…