Chama cha NCCR-Mageuzi kiko mbioni kuja na mbinu mpya ya kujenga umoja wa watanzania bila vurugu, mkakati huu unatazamiwa kuanza mapema mwezi wa oktoba 2013, tega sikio na macho.
Hata uwe na mbinu ya Amani unakwepa vurugu kwa Kila namna kwakua tu ni chama cha upinzani ukifikia hatua ya kuteka wanachama wengi na kutishia uwepo wa CCM basi balaa zitaanza kuandama chama chenu, tatizo la Tanzania ni CCM!! Nccr Mageuzi sasa haina matukio mengi kwakua haina madhara kwa CCM. Vurugu nyingi za chadema na CUF chanzo hua ni CCM na mauaji mengi wanayaratibu CCM,.. Anayekataa akatae tu ila huo ndio ukweli!!
Ajabu! Hivi vyama vya kuchumia tumbo ndugu yangu utaviweza! Maneno meeeeeengi. Si waingie kwenye field tuone watakavyungwa mkono! Chama chenyewe hata wabunge kuliopata kilipata wa maruhani lakini kwa kelele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.