NBC names David Gregory host of 'Meet the Press'


I am not happy na decision ya NBC, ingawa ninapenda kazi ya uandishi ya David Gregory especially alipokuwa White House correspondent, simuoni Gregory kama effective and successful long term replacement ya late Tim Russert. Sijui kwa nini NBC wame lower bar ya Meet The Press (MTP) namna hii. Siku za late Tim Russert, MTP ilikuwa ikiongoza kwa ratings na kuzitimulia vumbi shows nyingine za namna yake zilizokuwa kwenye similar time slot kama zile za, Fox News Sunday-Fox News, Face the Nation - CBS news, na This Week ya ABC.
Nakubaliana na wewe YNIM kwamba Tom Brokaw na yeye pia alifanya his very best. I wish NBC executives wangemwacha aendelee na kipindi wakati wakitafuta replacement ambayo ni solid. Hata Matt Lauer angeweza kuwa a good interviwer, na choice nyingine ingekuwa Gwen Iffil.
This is a bad move.
 

Mzee, good points. Kikubwa ni kumu wish good luck apate mafanikio, kwani itakuwa painful kuwaangalia akina Brit Humme na Bill Cristal kule Fox News. Let me take you back to my previous comment. Nafikiri u-bias wangu dhidi ya Gregory ni kutokana na mimi kutokupata opportunity ya kumwona sehemu nyingine zaidi ya White House akiuliza maswali. I know he's a smart guy, lakini kutokana na mimi kuona journalist kama Gwen Ifill, na Matt Lauer wanavyofanya usaili, nika draw conclusion yangu hapo...but nothing personal against Gregory.

Go Gators...defeat Sooners!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…