Ahahaaaaah...
Leo nimefurahi sana mkuu...
Ingawa sijaangalia game,ila vijana wamenifurahisha kwakweli...
Ila kwanini Steve Kerr huwa hapendi kuwatumia mastaa wake katika quarter zote..!?
Ahahaaaaah...
Leo nimefurahi sana mkuu...
Ingawa sijaangalia game,ila vijana wamenifurahisha kwakweli...
Ila kwanini Steve Kerr huwa hapendi kuwatumia mastaa wake katika quarter zote..!?
Ukisha kuwa na uhakika na ushindi vijana inabidi wapumzike, moja ya vitu viliwachosha mwaka jana ni kukimbizana na ile rekodi ya 73/8 ndo maana kwenye playoff timu ilikuwa imechoka kinoma.
This time kocha anajaribu kuwalinda vijana na uchovu unaosababishwa na kucheza dakika nyingi.
Ni timu zenye moto wa mabua muda wowote unaisha, ona Leo clippers wamekuwa blown out wakati wanaongoza NBA power rankings.
Naona ligi Bado haijawa shaken up vizuri contenders Bado ni wale wale GSW, Cavs, spurs labda na Bulls nadhani wana uwezo wakikaza kuliko hawa clippers, OKC, rockets
Mkuu Mag3
Leo naomba Steve Kerr awachezeshe mastaa wetu katika quarter zote...
Coz naona kuna kila dalili za kupatikana ile namba ya vikapu unayomuambiaga Raimundo
[HASHTAG]#DubNation[/HASHTAG]
Hili game Knicks vs GSW Carmelo na Derrick Rose wangekuwepo lingekua tamu sana, hawapo ila madogo wanajitahidi kukaza nilitegemea wawe blown out hadi sasa.