shizukan
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 1,158
- 563
Kwenye magazeti ya Ijumaa iliyopita, mojawapo limeandika habari za kufungwa jela miaka miwili jamaa mmoja huko Zanzibar (somebody Athumani) kwa kosa la kuiba nazi 10 ktk shamba la makamu wa rais Shaababi Gharib Bilal. Nilichokishangaa mimi ni kupewa hukumu sawa na huyu jamaa yetu asiyeweza kutulia Segerea bila SIMU ambaye yeye soo lake ni kubwa la mamilioni.
Kwa kifupi huu ni uharibifu wa fedha za umma kumlisha Athumani msosi wa bure kwa kuiba nazi 10. Badala yake Athumani angetafutiwa adhabu mbadala inayohusika na kazi ili ajifunze kuwajibika badala ya kumpa kifungo equivalent na mheshimiwa aliyetuibia 'beautifully'
Kwa kifupi huu ni uharibifu wa fedha za umma kumlisha Athumani msosi wa bure kwa kuiba nazi 10. Badala yake Athumani angetafutiwa adhabu mbadala inayohusika na kazi ili ajifunze kuwajibika badala ya kumpa kifungo equivalent na mheshimiwa aliyetuibia 'beautifully'