chakii JF-Expert Member Joined Sep 15, 2013 Posts 21,369 Reaction score 27,786 May 19, 2015 Thread starter #21 ymollel said: Inawezekana follow link hiyo ukiwa unatumia line ya tigo, Internet.org by Facebook Na utawezakutembelea tovuti kadhaa bure, ikiwemo jf web version. Hiyo link Internet.org by Facebook. siyo application ya kiInstall, hiyo kama proxy. Click to expand... Shukrani mkuu, nawezaje kufungua hiyo linki bila kuwa na data? kuna namna ya kujisajili kabla?
ymollel said: Inawezekana follow link hiyo ukiwa unatumia line ya tigo, Internet.org by Facebook Na utawezakutembelea tovuti kadhaa bure, ikiwemo jf web version. Hiyo link Internet.org by Facebook. siyo application ya kiInstall, hiyo kama proxy. Click to expand... Shukrani mkuu, nawezaje kufungua hiyo linki bila kuwa na data? kuna namna ya kujisajili kabla?
C christmas JF-Expert Member Joined Jul 21, 2011 Posts 2,701 Reaction score 1,280 May 19, 2015 #22 Hiyo bure waliyoimaanisha ni ipi? ukiweka pesa haikatwi au? nilijaribu siku moja wakakata hela kama kawaida. Hakuna vya bure siku hizi.
Hiyo bure waliyoimaanisha ni ipi? ukiweka pesa haikatwi au? nilijaribu siku moja wakakata hela kama kawaida. Hakuna vya bure siku hizi.
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 55,028 Reaction score 59,657 Jul 28, 2016 #23 ymollel said: Inawezekana follow link hiyo ukiwa unatumia line ya tigo, http://0.internet.org/ Na utawezakutembelea tovuti kadhaa bure, ikiwemo jf web version. Hiyo link http://0.internet.org/. siyo application ya kiInstall, hiyo kama proxy. Click to expand... Wabongo kwa ubishi... Haya sasa mmeumbukaaaa mimi mara zote natumia Jf bila kulipia data.. Naona mdau kawajibu na screeshot kabisa.. Acheni ubishii
ymollel said: Inawezekana follow link hiyo ukiwa unatumia line ya tigo, http://0.internet.org/ Na utawezakutembelea tovuti kadhaa bure, ikiwemo jf web version. Hiyo link http://0.internet.org/. siyo application ya kiInstall, hiyo kama proxy. Click to expand... Wabongo kwa ubishi... Haya sasa mmeumbukaaaa mimi mara zote natumia Jf bila kulipia data.. Naona mdau kawajibu na screeshot kabisa.. Acheni ubishii
BansenBurner JF-Expert Member Joined Feb 16, 2015 Posts 6,809 Reaction score 5,779 Jul 28, 2016 #24 umeData au
Kilangi masanja JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 4,598 Reaction score 5,188 Jul 28, 2016 #25 Ymollel hebu ingia deep kidogo tufaidike Na hiyo makitu kaka
Explainer JF-Expert Member Joined Dec 16, 2015 Posts 517 Reaction score 508 Jul 28, 2016 #26 kwa kifupi tu, kama cm yako ina opera min, basi fungua opera min then search hapo freebasics, kila kitu utakipata hapo toka app ya freebasic.
kwa kifupi tu, kama cm yako ina opera min, basi fungua opera min then search hapo freebasics, kila kitu utakipata hapo toka app ya freebasic.
etianga Member Joined May 21, 2015 Posts 16 Reaction score 1 Jul 28, 2016 #27 chakii said: Heshima kwenu wakuu, kuna taarifa kwanza kampuni ya mawasiliano ya Tigo Tanzania imeingia mkataba na Jamii Forums ili kuwawezesha watumiaji kuingia Jf bila makato ya ada kwa mteja wa Tigo. Naomba kufahamishwa namna ya kuingia Jf bila data. Nashukuru. Click to expand...
chakii said: Heshima kwenu wakuu, kuna taarifa kwanza kampuni ya mawasiliano ya Tigo Tanzania imeingia mkataba na Jamii Forums ili kuwawezesha watumiaji kuingia Jf bila makato ya ada kwa mteja wa Tigo. Naomba kufahamishwa namna ya kuingia Jf bila data. Nashukuru. Click to expand...
etianga Member Joined May 21, 2015 Posts 16 Reaction score 1 Jul 28, 2016 #28 Airtel halafu download Freebasics
Goodluck TZ JF-Expert Member Joined Oct 24, 2015 Posts 1,448 Reaction score 662 Jul 28, 2016 #29 Tumia internet.org kijana