Tobechukwu
Senior Member
- Oct 15, 2018
- 112
- 415
imeishaa
Mie nikajua yake nilitaka nimpe hiyo mihela alafu kulipana maelewano
Kasema hakopi kwa sababu hana dhamana, hawezi kupata kwa ndugu, hawezi kupata kwa marafiki!
Unaelewa maana yake?
Mie nikajua yake nilitaka nimpe hiyo mihela alafu kulipana maelewano
Dada yangu pole na hongera kwa kuwa na mawazo + .
Mimi ninashauri tu, hela bwna inapatikana kwa hela mwenzake.
Kama hauna 1000 huwezi kupata 500.
Ili upate hela inabidi uwe na hela ama kitu kinachoweza kulingana na hela.
Kama unatafuta milioni na mazingira ni magumu, tafuta kwanza10000 then hio ikuletee milion
Sent using Jamii Forums mobile app
Ah hiyo inakuwa ngumu madam... Hapa ni mwendo wa kukulana tuu
Ah hiyo inakuwa ngumu madam... Hapa ni mwendo wa kukulana tuu
Aisee!
Mimi mwenyewe ni milioni.
Kwanza umepona?
Jino kwa mswaki sio jino kwa jinoAh hiyo inakuwa ngumu madam... Hapa ni mwendo wa kukulana tuu