Sio kweli transcript inatolewa na nacte kupitia web yao unalipia then wanakutumia kupitia ofisi za jiran ulipo
Baada ya kulupia mm nilikaa wiki moja nikapigiwa sim nikaenda mby zonal office kuchukua
Sio kweli transcript inatolewa na nacte kupitia web yao unalipia then wanakutumia kupitia ofisi za jiran ulipo
Baada ya kulupia mm nilikaa wiki moja nikapigiwa sim nikaenda mby zonal office kuchukua
Sio kweli transcript inatolewa na nacte kupitia web yao unalipia then wanakutumia kupitia ofisi za jiran ulipo
Baada ya kulupia mm nilikaa wiki moja nikapigiwa sim nikaenda mby zonal office kuchukua
Utaratibu ni huo aliokuambia jamaa..unaomba online unalipia elfu 10 kama unachukulia Dar es salaam na elfu 15 kama nje ya Dar na baada ya wiki 1 au 2 utapigiwa au kutumiwa ujumbe ukafuate.