Exformer
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 856
- 989
Guys nimekuwa nikihangaika sana kupata baadhinya apps ambazo ni premium zinazohitaji kulipiwa kabla na hata baada ya kuwa nazo kwenye simu.
Sina uwezo wa kuafford kulipia ili kupata baadhi ya features frew, Hivyo naomba kama kuna uwezekano wa kunisaidia/ama kuelekezwa namna ya kufanya ili hizo premium apps nizipate bils kulipiwa(modified )
1. Linkedin
2. Wps
Na nyingine nyingi, ama kama unazo zozote unahisi ni zinaweza kusaidia wengine weka katika comments.
Sina uwezo wa kuafford kulipia ili kupata baadhi ya features frew, Hivyo naomba kama kuna uwezekano wa kunisaidia/ama kuelekezwa namna ya kufanya ili hizo premium apps nizipate bils kulipiwa(modified )
1. Linkedin
2. Wps
Na nyingine nyingi, ama kama unazo zozote unahisi ni zinaweza kusaidia wengine weka katika comments.