naweza kusina kozi gani

mpaka,leo ujajua bado...!!? subir mwakan endelea kutafakari usome ipi
 
Ndo hivi tunatengeneza kizazi cha wanafunzi ambao hata wenyewe hawawez kujitegemea. Mleta uzi haupo serious. "kusina" ulikuwa unamaanisha nini?
 
Ndo hivi tunatengeneza kizazi cha wanafunzi ambao hata wenyewe hawawez kujitegemea. Mleta uzi haupo serious. "kusina" ulikuwa unamaanisha nini?
labda kimakonde hicho
 
yaani watu humu jf khaaaah..... mtu kaomba msaada mnamshushua, mbona yaonyesha 1st selection kapigwa chini,
 
bora ww unaeomba msaada wengi hujua kuwa si malengo yao kusoma hiyo kozi wakiwa chuo tayari
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…