Naweza kupata hostel Kigamboni?

Naweza kupata hostel Kigamboni?

mediy dullah

Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
35
Reaction score
12
Habari za muda wakuu.
Naomba kujuzwa kama naweza kupata privet hostel maeneo ya Kigamboni, utaratibu wa kupata upoje, vyumba vina ukubwa gani na ni gharama kiasi gani.
 
Habari za muda wakuu.Naomba kujuzwa kama naweza kupata privet hostel maeneo ya kigamboni,utaratibu wa kupata upoje,vyumba vina ukubwa gani na ni gharama kiasi gani.
vipi ulishapata hostel .
kama bado nipigie 0755419798 ipo maeneo ya magogoni karibu na kituo cha basi maduka.
Umeme na maji ya uhakika kodi 50000 kwa kitanda
 
vipi ulishapata hostel .
kama bado nipigie 0755419798 ipo maeneo ya magogoni karibu na kituo cha basi maduka.
Umeme na maji ya uhakika kodi 50000 kwa kitanda
 

Attachments

  • photo_2017-01-25_16-30-23.jpg
    photo_2017-01-25_16-30-23.jpg
    36.2 KB · Views: 43
  • photo_2017-02-22_13-07-48.jpg
    photo_2017-02-22_13-07-48.jpg
    42.7 KB · Views: 40
Back
Top Bottom