Naweza Kumjibu Muhongo

Bado hajaongea Werema na PM nadhani hao watatoa majibu ya maswali uliyoyauliza. Yeye amejibu kwa maeneo yanayomhusu yale yanayomhusu mwanasheria mkuu yatajibiwa wakati muafaka utakapofika. Uwezo wa kujibu hoja bila jazba wala papara na kwenye upinzani mkali ndio weledi tunaoutaka kwa wabunge wetu hasa wale wanaoishia kuzomea pale wanapoishiwa hoja.
 
Com'on, what are you trying not to say here?

IPTL ipo inadai au PAP ndiye IPTL? Nani anatakiwa kulipwa hizo fedha unazotaka kuzileta hapa?

BTW, source ya taarifa ya PAC ni CAG, PCCB na TRA. Wewe source yako ni ipi?

Uwizi wa watumishi wa serikali kupitia PAP, ndiko kulililpa deni unalolisema la IPTL?

Hao kina Chenge, Tibaijuka, Ma jaji 3, mfanyakazi wa tRa, Kilaini, Ngeleja na wengine wote, ndio IPTL ama ndio walikuwa wanaidai IPtL?

Please brother, you must be kidding!.




 
Umejitahidi kwa uchambuzi jadidifu.. Pitia Rose Garden upate bia zako mbili maana umewaelimisha wengi!!
 

Huyo Muhongo asituzuge bado anajikanyaga maswala ya msingi yote hajajibu
 

Ntakusaidia kuelewa kama utapenda.

Una mkataba wa mafuta say from kampuni XYZ kwa sh. 120 kila mwezi(vat inclusive).

Kisha ukagundua malipo ya sh.120 ni ya kinyonyaji. Unaomba msuluhishane lakini uendelee kulipia huduma kwa sh.120 (kwenye account maalum).

Suppose baada ya miezi 10 kwenye account zimefika sh.1,200. Mdhamini wa account yenu akamlipa XYZ pesa yote kiujanja wa kisheria.

Tafasiri yake ni kwamba XYZ kachukua na kodi ya (VAT) ambayo ni pesa ya umma.

Lakini pia amechukua na chenji yako endapo bei ingeafikiwa kuwa pungufu ya sh.120 kwa mwezi.

Kumbuka Tanesco amelipa tozo ikiwa va VAT ndani yake, ni jukumu la mlipwaji kuwasilisha VAT itokanayo na mauzo.

Sasa VAT imepigwa na uwezekano wa chenji kwa Tanesco umepigwa pia.....Hiyo ndo mali ya UMMA.
 

VAT italipwa ndio maana serikali ilisisitiza kuwe na kitu hiki;

"IPTL do hereby agree to INDEMNIFY and keep INDEMNIFIED the Government and the Escrow Agent (jointly and severally) against all present and future claims, actions and legal proceedings that may arise in respect of and/or all losses, charges, costs, and expenses the Government and the Escrow Agent may suffer or incur consequent upon the release and payment of the funds in the Tegeta Escrow Account or part thereof to IPTL pursuant to the Agreement for Delivery of Funds".

Leo mmelowa mnadai chenji na sio mabilioni yake mliokuwa mnayatamka, teh teh teh teh! Hakuna chenji wala hakuna fedha ya umma kwenye escrow account na TANESCO bado INADAIWA na IPTL.

hashki majinuni nyie!!
:boxing:
 

Mkuu hichi ulichokisema ndio msingi mkubwa wa sakata lote la Escrow.
Hapa mtu asitake kufahamu lakini ni swala ambalo lipo wazi kabisa.
 
 
Hatuongelei pumba onyesha documentation kama alivyofanya muhongo hapa sio kijiwe cha kahawa

Vp bwana Ngwilimi alijipeleka mwenyewe Malaysia? Yaani mtumishi ''anajipeleka'' mwenyewe nje ya nchi.
 

Attachments

  • 1417129743190.jpg
    74.1 KB · Views: 95
  • 1417129771722.jpg
    97.6 KB · Views: 98
......msijichanganye kuhusu definition of an asset na ownership to the Company. Report ya CAG haijasema kuwa the deposit is not owned by the Company bali can not be defined as an asset.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…