Naweza kubadili chuo nilichopangiwa???

Naweza kubadili chuo nilichopangiwa???

Joined
Jul 3, 2013
Posts
20
Reaction score
3
Wadau nina swali hapa. Mimi nimepangiwa chuo cha SAUT bachelor of art in Public relation and marketing!!. je naweza kuwaomba TCU kunipeleka UDOM
 
nina tatizo la mtoto wa kaka yangu amechagaulia St Augustine ilihali anataka UDOM.......nitashukuru kwa msaada wa procedure
thread ya 2013
but kwa mtu mwenye tattizo kama hili ni kwamba kuhama kwa vyuo vya private ni posible fuateni procedure
 
nina tatizo la mtoto wa kaka yangu amechagaulia St Augustine ilihali anataka UDOM.......nitashukuru kwa msaada wa procedure
Mwambie aongee na mwalimu wake wa darasa au mwalimu wa zamu atamsaidia hapo chuoni
 
sawa, yupo Dar
Anatakiwa aripoti kwanza chuoni aliko pangiwa akifika ataenda kuonana na dean of school huyo ndio atampa maelezo yote, au anaweza akaenda T.C.U moja kwa moja kama yupo dasalama

Mwambie asisahau mfagio wa chelewa
atakwenda hapo TCU
 
nina tatizo la mtoto wa kaka yangu amechagaulia St Augustine ilihali anataka UDOM.......nitashukuru kwa msaada wa procedure
aende SAUT akaonane na dean of student au academic adviser wa wanafunzi atampa utaratibu/ushauri
 
Back
Top Bottom