Nawashauri wanaCCM kumpuuza Membe

thetallest

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2017
Posts
8,271
Reaction score
9,114
Huyu kiumbe anatafuta attention sana,nakumbuka baada ya maamuzi kutolewa na kamati Kuu ya kuwa katimuliwa chamani alijitutumua kujibu mapigo lakini alipuuzwa,

Ikaja korona akaibukia DW( Deutch welle),akakomaa tutatengwa,akaona kimya hakuna aliemjibu,kifupi alipuuzwa.

Nashauri kwa kauli zake za jana trh 19/06/2020 huko kijijini kwake Londo, Lindi,ni muendelezo wa kutafuta attention,akijibiwa ni kumpaisha ,apuuzwe tu,chama kiendelee na taratibu kilizojiwekea bila ya kusemezana nae,litakuwa ni anguko lake bila kutumia nguvu kumuangusha
 
Mwenzio Mwigulu huko povu kama lote, mpaka amejikuta anaandika kwa herufi kubwa. Sio kwamba ccm hawataki kukaa kimya, ila watakaaje kimya wakati yeye anaongelea tume huru ya uchaguzi? Ifahamike kuwa hii tume isiyo huru ya uchaguzi, ndio roho ya ccm kuendelea kukaa madarakani.
 
Kwanini Wampuuze wakati anadai haki yake au hujui katiba inasemaje ya chama Mwacheni apiganie haki yake
 
Kwani 2015 alipokua anataka kugombea aliwahi kusema time haipo huru au au yeye ana tume yake huru yakumpa urais anaoulilia Sasa na baadae?
 
Weka jina lako na Namba ya simu.
 
Apuuzwe kwa kupewa fomu ili tuone ataambulia nini !
 
Soma Ibara ya 74 ya Katiba ya JMT uchambue vifungu vinavyoifanya Tume ya Uchaguzi ipoteze sifa za kuwa huru. Bla bla za kulalamika na kulaumu ni mbinu za kuhamisha goli au kushindwa kwenye uchaguzi kiwe kisingizio.
 
Soma Ibara ya 74 ya Katiba ya JMT uchambue vifungu vinavyoifanya Tume ya Uchaguzi ipoteze sifa za kuwa huru. Bla bla za kulalamika na kulaumu ni mbinu za kuhamisha goli au kushindwa kwenye uchaguzi kiwe kisingizio.

Katiba chini vya Magufuli ni kama gazeti la udaku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…