Daaaah,hii ndiyo Jf buana,mtu unaamka huna muda na ngono unajiweka sawa kwaajili ya ibada ya usiku mwingine ana post ma.t k.o na kukuharibia taratibu za ibada,Kani vuruga huyu mtu Sanaa na akili imehamaKatika moja mbili tatu ya aina za wanawake niliokutana nao kimwili, kiukweli huwa navutiwa mno na wanawake wenye michirizi ya kutanuka, kizungu wanaiita “stretch marks”.
Sio mabonge, wengine ni ma model kabisa wanakuwa nazo.
Navutiwa zaidi nikiziona kwenye maeneo ya ma.ta.cal* aisee si mchezo!
Mwanzoni mwa mwezi huu nimepata kasichana kamoja kakali cha chuo, kameenda hewani halafu ana kashape ka wastani.. siku niliyokuja kupinduka kwenye 6-kwa-5 namkuta anayo hiyo mistari pendwa! Bwaana wee!!
Mbona alielewa show!
(Attachment: Mfano wa picha, sio huyo wakuu)
View attachment 1658256
Tujuzane wakulungwa wenzangu, nyie mnaelewa nini?
Unajuaje kama ni kifupisho changu?Jina lako linanikwaza. Ss wa imani hiyo hatutaki majina matakatifu kutumika ovyox2 ujue!!!
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
We ngoja aje Yule mods muhenga aliesema "Bandu Bandu humaliza gogo"Tena Kuna Yule mwengine alisema "Dunia hadaa walimwengu shujaa" huyu ndo mpiga ban...
Aah wapi?Unajuaje kama ni kifupisho changu?
Acheni uzindaki.
Sent from my TECNO WX3P using JamiiForums mobile app
Mzeee hiyo hata mim ndo ugonjwa wangu...yani navurugwa kabisa nikiona stretch marks
Nimecheka kuona hili neno, ''punde si punde'' nadhan umenielewa nilichokumbukaHaya ni matiketi ya uzi kufutwa..
Punde si punde mods watavamia😂
Umekumbuka nini mkuu..😅Nimecheka kuona hili neno, ''punde si punde'' nadhan umenielewa nilichokumbuka
Amemaliza kila kitu kwa wale wa picha iko wapi?kwanza nikupongeze mleta mana kaja na mifano hai na mizuri kwa wasomaje hongera
hahahaa mkuu umenikumbusha kuna jamaa alikua analalamika eti amekabwa uchochoroni na kibaka anaitwa ibrahimJina lako linanikwaza. Ss wa imani hiyo hatutaki majina matakatifu kutumika ovyox2 ujue!!!
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
hahahaa mkuu umenikumbusha kuna jamaa alikua analalamika eti amekabwa uchochoroni na kibaka anaitwa ibrahim