MalcolM XII
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,236
- 14,203
Katika moja mbili tatu ya aina za wanawake niliokutana nao kimwili, kiukweli huwa navutiwa mno na wanawake wenye michirizi ya kutanuka, kizungu wanaiita “stretch marks”.
Sio mabonge, wengine ni ma model kabisa wanakuwa nazo.
Navutiwa zaidi nikiziona kwenye maeneo ya ma.ta.cal* aisee si mchezo!
Mwanzoni mwa mwezi huu nimepata kasichana kamoja kakali cha chuo, kameenda hewani halafu ana kashape ka wastani.. siku niliyokuja kupinduka kwenye 6-kwa-5 namkuta anayo hiyo mistari pendwa! Bwaana wee!!
Mbona alielewa show!
(Attachment: Mfano wa picha, sio huyo wakuu)
Tujuzane wakulungwa wenzangu, nyie mnaelewa nini?
Sio mabonge, wengine ni ma model kabisa wanakuwa nazo.
Navutiwa zaidi nikiziona kwenye maeneo ya ma.ta.cal* aisee si mchezo!
Mwanzoni mwa mwezi huu nimepata kasichana kamoja kakali cha chuo, kameenda hewani halafu ana kashape ka wastani.. siku niliyokuja kupinduka kwenye 6-kwa-5 namkuta anayo hiyo mistari pendwa! Bwaana wee!!
Mbona alielewa show!
(Attachment: Mfano wa picha, sio huyo wakuu)
Tujuzane wakulungwa wenzangu, nyie mnaelewa nini?