Kun stretch marks ukiziona UNAOGOPA..
Kuna baadhi wananunua ma-creme ya kupaka ili kuziondoa
Wakati wanaume wengi ni wapenzi wa zebra booties
Hawajui tu wanavyo haribuwendawazimu hao
Dah we jamaaWengine tunapenda mkanda wa jeshi
tena wana JF ambao ni 27-35 hawa wanaweza kuwa na life span ndogo zaidi kutokea ktk human kind hahaaaaaa nahisi tuko na misongo ya mawazo mingi saaaana kiasi kikitokea chochote cha kukipa kichwa relief tunakipokea kwa mikono miwili hata kama kin maaafa au hakifai kwa maadili au sheriaKweli ni rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano lkn sio Wana jf..😂
Ndo mambo mbalimbali hayotena wana JF ambao ni 27-35 hawa wanaweza kuwa na life span ndogo zaidi kutokea ktk human kind hahaaaaaa nahisi tuko na misongo ya mawazo mingi saaaana kiasi kikitokea chochote cha kukipa kichwa relief tunakipokea kwa mikono miwili hata kama kin maaafa au hakifai kwa maadili au sheria
Mwana FA Mabinti one of mafavourite kipindi hicho siku mtu aje atuchambulie wale mabinti waliotajwa mule wako wapi na wanafnyanini"Michirizi ya Utamu nyuma ya goti mie hoi na moyo hai sio toy"
Asante Mh Mbunge kwa hii mistari
Behaviourist njooooooooooo
Mkuu ngojaa aseme yeye😎ndo mambo yake nini!?
🤣 🤣Ukimchapa wa hivyo Doggy tako mbili tu wazungu haooooooooooo
Wachana na michirizi man, yaani hiyo unakojoa kama Kuku
Watakuita "one minute man"
Premature ejaculation
Mbona kama rangi ya maandazi iyoStretch marks ziwe hivi bhanaView attachment 1658262
Sent from my TECNO WX3P using JamiiForums mobile app