Daaaah,hii ndiyo Jf buana,mtu unaamka huna muda na ngono unajiweka sawa kwaajili ya ibada ya usiku mwingine ana post ma.t k.o na kukuharibia taratibu za ibada,Kani vuruga huyu mtu Sanaa na akili imehamaKatika moja mbili tatu ya aina za wanawake niliokutana nao kimwili, kiukweli huwa navutiwa mno na wanawake wenye michirizi ya kutanuka, kizungu wanaiita “stretch marks”.
Sio mabonge, wengine ni ma model kabisa wanakuwa nazo.
Navutiwa zaidi nikiziona kwenye maeneo ya ma.ta.cal* aisee si mchezo!
Mwanzoni mwa mwezi huu nimepata kasichana kamoja kakali cha chuo, kameenda hewani halafu ana kashape ka wastani.. siku niliyokuja kupinduka kwenye 6-kwa-5 namkuta anayo hiyo mistari pendwa! Bwaana wee!!
Mbona alielewa show!
(Attachment: Mfano wa picha, sio huyo wakuu)
View attachment 1658256
Tujuzane wakulungwa wenzangu, nyie mnaelewa nini?