The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,247
Wakuu
Nimeamua kuuza ZUKU Satelite TV Complete kit yangu niliyoitumia kwa miezi sita tu
Sababu: Nimepata uhamisho kikazi na sitokuwepo tena nchini,kwa hiyo nimeamua kuipiga mnada!
ZUKU Satelite TV Complete kit yangu ina kila kitu kinachotakiwa na nzuri zaidi imelipiwa hadi tarehe 10/11/2013.
1.Decoda(Ina HDMI application)
2.Dish Lake.
Nipo Dar es Salaam.
Kwa aliye tayari mawasiliano yangu ni 0757665701/0787665701.
NB:Kwa sasa ukienda kununua mpya dukani full package and instillation ni Tsh 150000/= lakini hii yangu unapata kwa bei
rahisi tu.
The Magnificent!
Nimeamua kuuza ZUKU Satelite TV Complete kit yangu niliyoitumia kwa miezi sita tu
Sababu: Nimepata uhamisho kikazi na sitokuwepo tena nchini,kwa hiyo nimeamua kuipiga mnada!
ZUKU Satelite TV Complete kit yangu ina kila kitu kinachotakiwa na nzuri zaidi imelipiwa hadi tarehe 10/11/2013.
1.Decoda(Ina HDMI application)
2.Dish Lake.
Nipo Dar es Salaam.
Kwa aliye tayari mawasiliano yangu ni 0757665701/0787665701.
NB:Kwa sasa ukienda kununua mpya dukani full package and instillation ni Tsh 150000/= lakini hii yangu unapata kwa bei
rahisi tu.
The Magnificent!