Nauza vitu vya ndani..

Nauza vitu vya ndani..

Friji likifika 200k nichek maana hata kama ndo udalali mzee baba sio hivyoo Mwenye vitu vyake akiona hii post anaweza kuzimiaa
hahaaaaa mwenyewe nimemuwazia muuzaji,
mwenyewe unakuta mtu wa watu hana shida fridge anauza elf 80,
madalali wa kibongo bila kuongeza hawafurahi,
waweza umpe dili lets say umepigika ukaamua unauza figo moja, yy akija kutangaza anasema kuna mtu anauza figo mbili na maini na nyongo ya bure.
 
hahaaaaa mwenyewe nimemuwazia muuzaji,
mwenyewe unakuta mtu wa watu hana shida fridge anauza elf 80,
madalali wa kibongo bila kuongeza hawafurahi,
waweza umpe dili lets say umepigiga unauza figo moja, yy akija kutangaza anasema kuna mtu anauza figo mbili na maini.
Figo na maini kaongeza na moyo ikiwezekana maana duuh bei za dukani zenyewe hazifui dafu
 
Mkuu hiyo dispenser ukitaka elfu 50 CASH, nicheki PM uje uchukue hiyo pesa mara moja..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom