NAUZA VITU VYA NDANI

NAUZA VITU VYA NDANI

DANIEL MWITA

Senior Member
Joined
Sep 16, 2012
Posts
118
Reaction score
42
Sofa na mito yake - 600,000
Fridge - 400,000
MAONGEZI YAPO
NB: vitu vyote bado vipya

Napatikana Tabata reli karibu na chuo cha st. marys

Mawasiliano: 0769621797
 

Attachments

  • IMG-20190116-WA0032.jpg
    IMG-20190116-WA0032.jpg
    53.2 KB · Views: 108
  • IMG-20190116-WA0037.jpg
    IMG-20190116-WA0037.jpg
    42.3 KB · Views: 80
  • IMG-20190116-WA0033.jpg
    IMG-20190116-WA0033.jpg
    46.8 KB · Views: 77
Sofa na mito yake - 600,000
Fridge - 400,000
MAONGEZI YAPO
NB: vitu vyote bado vipya

Napatikana Tabata reli karibu na chuo cha st. marys

Mawasiliano: 0769621797
Mkuu twambie ukweli kabisa isije kuwa nawewe unataka kujilipua kama yule Jamaaa wa tukio la Ugaidi huko Nairobi. Wiki moja iliyopita kabla ya kujilipua aliweka tangazo la kuuza vyombo vyake vyote mtandaoni kama hivi. Potezea Mkuu
 
450,000 Tsh, imetumika miezi kama miwili tu, kilakitu kipo fresh had box lake
Sofa na mito yake - 600,000
Fridge - 400,000
MAONGEZI YAPO
NB: vitu vyote bado vipya

Napatikana Tabata reli karibu na chuo cha st. marys

Mawasiliano: 0769621797
Nyie watu msimdhihaki mtu anayeuza vitu vya ndani. Wakagi mwingine si kwa kupenda ni vyuma vimekaza anatafuta pa kuanzia, au ameuguza au mengine kama kuhamia sehemu nyingine nk. Ushauri tu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom