Nauza uyoga mkavu na mbichi

Nauza uyoga mkavu na mbichi

queen B

Senior Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
151
Reaction score
97
Habari wakuu uyoga mkavu na mbichi unapatika karibu sana
a54e9388db81fd9c93030b91793a580f.jpg
 
naona wateja wanazidi kumiminika tu queen b. tujifunze kutangaza kwa weredi lau umshawishi hata asiye na mpango wa kununua lau amwelekeze mwenzake!
*tangazo halitaji ofisi
*mawasiliano
*bei yako
*gharama za usafiri kwa (nje ya dar)
*namna ya matumizi/kuhifadhi kama itahitajia kuepuka hasara.
 
Uko Bunju, wateja wako unawapelekea, hujataja bei huo uyoga, ama garama za kumpelekea mteja kwake. Mimi nahitaji niletee mbezi Luis, ila unahitaji kuwa na mawasiliano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom