Nauza unga wa samaki (panki)

magoye01

Member
Joined
Aug 22, 2014
Posts
31
Reaction score
10
natafuta wateja wanaotaka unga wa samaki(panki) kwa wateja wa Dar
unga huu hutumika kama chakula cha
.kuku na nguruwe
mawasiliano Ni 0762655938
au 0718969767
 
bei kwa kilo kiasi gani?
 
natafuta wateja wanaotaka unga wa samaki(panki) kwa wateja wa Dar
unga huu hutumika kama chakula cha
.kuku na nguruwe
mawasiliano Ni 0762655938
au 0718969767
Bei yako ikoje kwa kuanzia na kilo 1? Na kwa mikoani tunapataje?
 
Mambo vp bro...unga wa samaki unauzaje...mimi pia nipo arusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…