Wadau salaam,
Ninao ufuta mpya kwa anayehitaji, pia kama unafahamu palipo na solo lake unijilishe,
Kuna wahindi wananunua ufuta kwa wingi sana wako hapo karibu na Tazara hata kama una fuso limejaa ufuta we wa peleka.Wadau salaam,
Ninao ufuta mpya kwa anayehitaji, pia kama unafahamu palipo na solo lake unijilishe,
Kuna wahindi wananunua ufuta kwa wingi sana wako hapo karibu na Tazara hata kama una fuso limejaa ufuta we wa peleka.
Ntaku pm namba ya m husika mule ndani...Ila tu uwe na mzigo