dume la kenge
Senior Member
- Apr 12, 2017
- 177
- 240
Jamaa Mbona kasena aina....... Rudia kusoma kwa umakiniNi aina GANI mkuu
Ni zile tv za startimesNi aina GANI mkuu
Nimekuuliza wewe au mleta huu Uzi mwenye shida ya kuuza??Jamaa Mbona kasena aina....... Rudia kusoma kwa umakini
Umeambiwa tv ya star times huelewi nn hapo? Namanishani tv kampuni ya star times,mwenye used anilekebishe kama nimekoseaNimekuuliza wewe au mleta huu Uzi mwenye shida ya kuuza??
Kwani sikusoma kwa umakini hadi niulize???kataja ukubwa wake Mimi nimeuliza aina GANI nikimaanisha LG;SAMSUNG:Toshiba:au aina IPI???
wewe ndie mwenye shida mtu hawezi kuku rudishia pesa sema punguzaHuwez kuuza bei uliyonunulia. Kwahyo hbr ya kurudishiwa hela haipo. On a serious note kama utakubali 500k tufanye biashara
Chukua 550k, ni Pm mkuuNiko mwanza ila nataka nihamie nchi jirani. Nina flat screen ya startimes inch 40 ,ni hd. Nimeinunua tarehe tatu mwezi wa nane mwaka huu, kwa maana ya kwamba ndo ina mwezi moja na wiki mbili, mbezi luis ,dar karibu na round about. Kila kitu bado kipo. Nataka mtu wa kunirudishia tu hela yangu . mtu anayeishi dar au mwanza ndo atanipata kwa urahisi.tv inatumia king'amuzi cha startimes na dstv tu. Ina king'amuzi cha ndani. Bei ni 840000 kwa mtu anaishi dar ikiwa ni pamoja na nauri ya kuisafirisha. Kwa mtu wa mwanza ni 820000 tsh. Namba ya cm 0789284092
Wacha kujifanya mjuaji wewe..unajifanya umeelewa kumbe bogas..umeambiwa aina ya STAR TIMES, hats picha zinaonesha..au unatumia simu ya mamaNimekuuliza wewe au mleta huu Uzi mwenye shida ya kuuza??
Kwani sikusoma kwa umakini hadi niulize???kataja ukubwa wake Mimi nimeuliza aina GANI nikimaanisha LG;SAMSUNG:Toshiba:au aina IPI???
na wewe acha ujinga km JF ya kwakoWacha kujifanya mjuaji wewe..unajifanya umeelewa kumbe bogas..umeambiwa aina ya STAR TIMES, hats picha zinaonesha..au unatumia simu ya mama
Ok kama uko serious na una hela mkononi basi ntachukua 720000Hiyo bei khaaaa.
Poza kidogo mkuu
Ongeza dau kidogo uchukue mzigo mkuuHuwez kuuza bei uliyonunulia. Kwahyo hbr ya kurudishiwa hela haipo. On a serious note kama utakubali 500k tufanye biashara
Ina kila jituina risiti halali za efd?
Ongeza dau kidogo uchukue mzigo mkuuChukua 550k, ni Pm mkuu
Khaaaa!!!! As hahahaha haha haha, duh!!! Hii ni baraa. Twende kazi,na wewe acha ujinga km JF ya kwako
ntu asiulize?
mbona kila mkoa Ofisi za StarTimes wanaziuza hizi Flatscreen za kichina
Dodoma zinapatikana kwa 800,000/ na muda wa hewani
tunachotaka ni kujua km ni LG;SAMSUNG:Toshiba:au ndio tuchangamkie
usilazimishe biashara km Dalali