Kwa hiyo avatar... Mhhhh
Hahahaha umeona eeh,sijui hiyo Avatar ni mojawapo ya spare ya hiyo Gari.Huna hela wewe njaa kali
Hahahaha umeona eeh,sijui hiyo Avatar ni mojawapo ya spare ya hiyo Gari.
usimaindi sana mkuu...usiku wote huu utashindw gonga mkeoooo bure kwa kustressiwa na vitu vya kawaidaWatu wa ajabu kwel. Hiyo avatar ingekuwa inagawa hela angehoji?? Ufinyu wa fikra tu
Mbona gari umepiga picha kenye Makaburi ya magari,maana kuna gari moja hapo naona limechutama kama Dada mlevi anakojjoa porini aisee.Na kule mbele naona mzee kachokaaaaa,ameisha sizzzzzzzzzzz anasubiria wazee wa scraper wakampunguzie uzito.
Yote kwa yote gari nzuri,ila angalia sana mazingira ya kupigia picha,maana Mzima huwezi kukaa na wafu lazima utakuwa na matatizo,sasa gari zima limekaa na gari wafu,aiseee