CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Wadau, habari zenu?
Nauza SUZUKI CARRY, 4WD, manual, haijazidi miezi sita toka inunuliwe na kuanza kutumika. Haina tatizo lolote.
Imelipiwa kila kitu (motor vehicle licence na bima).
Sababu za kuiuza - namalizia ujenzi wa nyumba.
BEI: 7,000,000 Tshs (negotiable).
KWA MAWASILIANO: 0763718328 au PM
INAPOPATIKANA: Dar
.
Hii picha nilipiga usiku kwa ajili ya kuwapatia picha ya kile ninachosema, nitatuma picha zaidi baadaye.
Nimeweka picha zaidi.
Nauza SUZUKI CARRY, 4WD, manual, haijazidi miezi sita toka inunuliwe na kuanza kutumika. Haina tatizo lolote.
Imelipiwa kila kitu (motor vehicle licence na bima).
Sababu za kuiuza - namalizia ujenzi wa nyumba.
BEI: 7,000,000 Tshs (negotiable).
KWA MAWASILIANO: 0763718328 au PM
INAPOPATIKANA: Dar
.
Hii picha nilipiga usiku kwa ajili ya kuwapatia picha ya kile ninachosema, nitatuma picha zaidi baadaye.
Nimeweka picha zaidi.